Nick girland
JF-Expert Member
- Jan 13, 2020
- 291
- 200
Wewe unajua kwanini alimuwakia vile?.Acheni kushabikia mambo ya kijinga, nje ya Simba na Yanga sote ni Watanzania, sote ni binadamu. Alichokifanya Haji si cha kiungwana. Michezo ni furaha na Upendo si uadui.