Kongosho zimepinda kma munduIpo siku Le Mutuzi,Le Coco Banga,Mobimba Nye nye!! Litakuja omba msaada wa 10M,liende India,tibiwa kongosho zake zimepinda!! Halafu daily linapiga picha linakula Five Star Hotel!! CC W J Marechela!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila JF nimewashindwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Leo no comments.ila tafakari maneno yake mwenyeweView attachment 842086View attachment 842088
Sent using Jamii Forums mobile app
asherman syndrome
Hahaaaa karibuLol, i've seen you in her page.
Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
kulingana na maelezo yake Niko sahihi ndio. maana kasema Vipimo vyote viko Sawa, Ila kipimo cha mirija ndio kimeonyesha imeziba. Hiyo inamaamisha kwamba sababu nyingine za kufanya mirija izibe (Kama uvimbe kwenye cornua) Hakuna, lakini pia mirija inaoneka imeziba pande zote. Kawaida kitu Pekee kinachoweza sababisha scenario Kama hii kwa kiasi kikubwa ni Kama nilivyoelezaJe huko sahihi Katika hili? Hizo ndio sababu za pekee za kuziba mirija
tena funza mzee
Wanasema "I am living my life" alafu yakiwashinda wanarudi tena kwa wale waliosema mtuacheWakiwa wanatunzana madola ukiwaambia mnakufuru utasikia "tuacheni jamaniii ni jasho letu, by the way life is too short"
wakianza kuumwa mbio kujinyongesha kwenye mitandao.
wenye mioyo yao watachangia but meee am out.
Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.