Mtangazaji wa Clouds, Diva the Bawse afunguka ya moyoni kuwa hawezi kuzaa kisa matatizo kwenye uzazi

Mtangazaji wa Clouds, Diva the Bawse afunguka ya moyoni kuwa hawezi kuzaa kisa matatizo kwenye uzazi

Huyu Mdada ni Mjinga na anawakilisha wajinga wenzake...alikuwa anataka mahari ya million mia tano na kashifa juu kuwa hawezi kuolewa na mwanaume asiyejua lugha ya malkia ( Tanzanian celebrities must be taught on how to behave like public icon...they need to be taught also on how to solve their problems because now days I see when they get into trouble they ask for public simpath)
Waache ujinga!

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said mkuu
 
Pumbavu kabisa hili janamke,si hua anasema anahela, anajiitaga level baby,sijui madudu gani,anapesa anaishi apartment ya gharama! Sasa leo hii ndo anakosa USD 7000??? Hizi mbwembwe za kwenye social media,waache,sasa ona anavyoumbuka!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia anasema ana nyumba ya ghorofa anajenga..anyway.... Mungu amsaidie
 
Back
Top Bottom