Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
nimeumia sana..kifo hiki jaman
Kweli duniani tunapita....ninakumbuka mwaka 2015 tulikutana Golden Tulip kwenye get together party ya Heineken...nikakukumbusha miaka ya 1981/2 Tambaza Secondary enzi za Mzee Kalumuna...nikakutajia majina ya mamates kama William Chiume,Jonathan Haule,John Peter,Godius Kahyarara wengine wakubwa kama Yahya Tuli...nikakuuliza ulikua darasa lipi...mm nilikua U...ukanijibu hapana sikusoma Tambaza ila Azania...japo story nyingi redioni zilikua za Tambaza miaka hiyo na ulizipata kutoka kwa marafiki...hasa za kupigana na maaskari polisi watunza foleni na mainspector wa UDA pamoja na migambo wao...pia ugomvi wa Kinondoni Muslim na Tambaza uliotokea Muhimbili Pri school...nitakukumbuka sana ulikuwa unanikumbusha mbaali sana na nikawa mpezi sana wa kipindi chako cha Jahazi....tangulia mate..ni njia yetu wote...mbele yako...nyuma yetu....Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi Ephraim....so sad....Ephraim Kibonde amefariki usiku wa kuamkia Leo tarehe 7 machi 2019
Hatujapoa bado na msiba wa Ruge Leo Kibonde hatunae
Huzuni sana Mungu awape faraja watoto wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah ...pole sana kwa kumpoteza mama... Kama angekuwa yupo Clouds....mshangao ungekuwepo [emoji12]Km presha sishangai
Mama angu alizimika ghafla tu,
Sina hamu na ugonjwa huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka enzi hzo don Bosco pale alikuwa anatingisha....Enzi hzo upanga imechangamkaRest in peace mtoto wa Upanga kaka Kibonde, nitaikumbuka sana sauti yako ya kipekee.
Weye VITOIRE, hujui unachojua ni nini?Jamani,si alikuwa MC wa Msiba wa Ruge?????R.I.P
View attachment 1039945siri ya kifo aijuae muumba, hapa alikuwa anasimamia wekaji wa mashada ya marehemu ruge, wala hakujua siku 3 mbele zinazofuata mauti ya tamkumba, tunatembea na vifo hakika sisi si lolote wala chochote, Mungu ampe kauli thabiti amina.
Kibonde ni mnyakyusa
Mkuu haipendezi kupotosha, pia ulipaswa kuanzisha mada ya malalamiko inayojitegemea kwenye jukwaa husika na sio kwenye bandiko la taazia.Poleni sana CMG kwa misiba miwili mikubwa....
JF naona siku hizi mnachagua nani anafaa kuweka uzi na nani hafai kuweka uzi...
Nikiwa mwanza kikazi,leo asubuhi napata habari za kifo cha Kibonde toka kwa Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama Mkoa wa Mwanza...
Naingia kwenye page ya clouds ya IG wameshatoa taarifa za kifo cha staff wao...
Nami naandika thread hapa juu ya kifo cha Kibonde,naweka na supporting document toka page ya Clouds ya IG...
Nashangaa uzi wangu unafutwa... nakutupwa kwenye dustbin,ila aliyekuja nyuma yangu anaachwa na uzi wake...
Maswali yangu kwenu JF...
a) Hivi naweza toa taarifa za uongo kuhusu kifo cha mtu?? Kwa manufaa ya nani hasa. Hivi mlitaka muamini nini hasa kama nilichofanya mimi,ndicho alichofanya mleta mada nyuma yangu??
b) Je mnapenda watu.wapi wa namna gani watoe thread/uzi ndiyo uamini??
c) Nimepata taarifa toka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mwanza,pia Clouds wenyewe wakawa washatoa kabisa taarifa zao kwenye IG page yao... Ila mkaona hapana mkatoa uzi wangu.
Mnakera sana tena sana....Msipende kubagua nani anafaa na nani hafai kuweka uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilijua ni MchagaKibonde ni mnyakyusa
Wazazi &familia yake ni dhehebu la mashahidi wa yehovah kindakindaki
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app