TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

Aisee. Kwenye msiba wa Ruge nilimuona akiwa na afya njema kabisa.

Hakika hakuna ajuaye siku ya Kufa.

Apumzike kwa amani.
 
Inasikitisha, poleni familia
 
Hatujui siku wala saa,tujiandae wapendwa katika haya maisha tunayoishi hapa Duniani,so sad..
 
R.I.P kibonde, nakumbuka kukuona ukiwa MC wakati mwili wa boss Ruge unateremshwa kaburini, tena ulikuwa unatembea na kuchungulia ndani mwa kaburi wakati mtumishi wa Bwana anamwagia maji ya baraka na kuombea shughuli hiyo. kumbe ulichokuwa hukifahamu ni kwammba nawe ulikuwa njiani... Aisee kifo ni fumbo kubwa sana katika maisha ya binadamu.
 
Ni msiba mzito kwa Clouds hasa hasa familia na wapendwa wake wote. Pole yao alazwe anapostahili. Yaani clouds mwaka 2019 hawatausahau na ndo kwanza march .

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Dah! Kibonde...R.I.P Mzee wa Jahazi
 
poleni sana familia ya marehemu, clouds fm na tanzinia yote ya habari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…