Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Amefariki Bugando Mwanza,Kwa taarifa za awali inasemekana alijisikia vibaya wakati yupo kagera akapelekwa Bugando kwaajili ya matibabu zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why not my sister...!!??Haiwezekani!
bwana atutie nguvu hakika mbinguni si mbaliEphraim Kibonde amefariki usiku wa kuamkia Leo tarehe 7 machi 2019
Hatujapoa bado na msiba wa Ruge Leo Kibonde hatunae
Huzuni sana Mungu awape faraja watoto wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapatwa na kifo mkuu RIP KAKA KIBONDE
Sasa leo ni juzi? unaambiwa alianza kusumbuliwa na presha akiwa bado msibani na amefariki usiku wa kuamkia leo.
Daah aiseeView attachment 1039945siri ya kifo aijuae muumba, hapa alikuwa anasimamia wekaji wa mashada ya marehemu ruge, wala hakujua siku 3 mbele zinazofuata mauti ya tamkumba, tunatembea na vifo hakika sisi si lolote wala chochote, Mungu ampe kauli thabiti amina.
Yaani inatilisha huruma mnoo Mtani.Mtani mimi nimeogopa. Msiba wa Ruge haukuniuma kiviile,ila kwa haya yote nimeshikwa na huruma
RIP Bro.
Habari za hivi punde ni kuwa mtangazaji maarufu wa Clouds FM, Ndugu Ephraim Kibonde amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 7 Machi 2019.
Kibonde alianza kusumbuliwa na presha akiwa katika msiba wa marehebu Ruge Mutahaba huko Bukoba mkoani Kagera na kuhamishiwa hospitali ya Bugando jijini Mwanza ambapo mauti yamemkuta.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza pamoja na Mkuu wa Vipindi wa Clouds FM, Sebastian Maganga wamethibitisha kutokea kwa kifo hicho.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa
View attachment 1039958
Ephraim Kibonde akiwa na mkewe enzi za uhai wao
wewe au mimi tunaweza tusimalize hii siku wewe unashangaa juzi