Mtangazaji wa ITV Mabere Makubi usiangaike na ajira ITV, wiki ijayo utapata ajira nje nakamilisha mazungumzo

Mtangazaji wa ITV Mabere Makubi usiangaike na ajira ITV, wiki ijayo utapata ajira nje nakamilisha mazungumzo

Mkiambiwa Tanzania ni moja ya nchi ambazo wananchi wake hawana furaha mnabisha eti ooh mbona tunakula ugali matembele kwa raha mustarehe bila kusikia milio ya risasi mara sijui blahblah gani .sababu zenyewe ndio kama hizi za kunyimana amani kwenye nchi yako mwenyewe
Wengine wanadhani kinachoondoa furaha ni risasi pekee..!!
 
Hii ndio naisikia leo ,,,kuwa mfuasi wa Mungu na Mfuasi wa Mila....hii baghosha kabisa.
Wazungu na Waarabu, walipokuja Africa na kutuletea dini zao, walitukuta na dini zetu za asili, mila na desturi, wakaziponda kuwa ni za kishenzi na kutuletea Ukristo na Uislamu.

Walitukuta na mila za wake wengi, Uislamu unafundisha mwisho wanne, Ukristo mwisho mke mmoja. Kumbe huu ni uongo!.

Kwenye zile dini zetu za asili, mila na desturi, sio kila kitu ni cha kishenzi, kuna mazuri mengi tuliyaacha, miongoni mwa mazuri hayo ni baadhi ya tiba asili, jando na unyago na mila za wake wengi.

Baada ya ndoa ya Kikristu kanisani, niliposema Bible kwa makini, nikagundua kumbe ndoa ya mke mmoja sio mpango wa Mungu!, hakuna popote ndani ya Bible Mungu kazuia ndoa za wake wengi, ni scheme tuu za wazungu, wenzetu hawana nguvu za mitala hivyo kulazimisha mke mmoja.

Hivyo akina sisi timeamua kumfuta Mungu wa kwenye Bible na sio ule uongo wa wazungu!.
P
 
Baada ya ndoa ya Kikristu kanisani, niliposema Bible kwa makini, nikagundua kumbe ndoa ya mke mmoja sio mpango wa Mungu!, hakuna popote ndani ya Bible Mungu kazuia ndoa za wake wengi, ni scheme tuu za wazungu, wenzetu hawana nguvu za mitala hivyo kulazimisha mke mmoja.

Hivyo akina sisi timeamua kumfuta Mungu wa kwenye Bible na sio ule uongo wa wazungu!.
Naona umeamua kupiga Two in One...
 
Kalimanzila nawe hujioni?
Screenshot_20220504-073358.jpg
 
I simetimes LAUGH at myself after having LISTENED from...
 
Yes, namfuta Mungu huku nikiendeleza mila nzuri. Issue ya ndoa ya mke mmoja ndio iliyolipasua Kanisa Katoliki na Kuanza kwa Lutheran, then Anglican.
P
Kuna kiapo pale ...hatutaachana mpk kifo kitakapotutenganisha...wewe uliapaje....na hii dhana ya mwili mmoja nayo utakuwa hauitaki Tena??
 
Nashukuru msomi unayedhani Kufanya kazi ya mama ntilie ni kukosa elimu. Ubarikiwe Sana, unaitendea kazi elimu Yako.

Mimi elimu yangu inanifunza matamshi utokana na makuzi, lakini pia kifaa kinachotumika kuandika kinaweza kuwa na lugha yake.

Hapa hakuna anayeleta mada Kwa lengo la editing, tunaleta ujumbe tukimaliza tunapokea maoni Kwa lengo la kuboresha.

All in all umefanya kazi nzuri; Hongera Sana msomi
Nadhani, mnalumbana bure. Lakini ukweli ni kwamba, wengi wao hasa correspondences, elimu zao ni ndogo. Wamemaliza kidato cha nne na pengine kwenda chuoni kusoma certificate ama education au journalism. Wengi wamepata on job short seminars kujua tu basics ya uandishi wa Mambo ya kijamii. Hawawezi kuinterview mtu kwa weredi kwakuwa elimu yao ya darasani ni ndogo. Huo ndio ukweli. Tulikuwa na semina na journalists ambapo mfadhili alikuwa EU, yule mwakilishi wa EU alipotoa hotuba hawakuchukua chochote, wanasumbua kutaka version ya kiswahili. Ebu waiheshimishe taaluma,waende shule. Sio unafeli shule,unaona sehemu ya kwenda kupata chochote ni kujiita maandishi wa habari na kuanza kutembea na camera na notebook. Shule kwanza!
 
Nashukuru msomi unayedhani Kufanya kazi ya mama ntilie ni kukosa elimu. Ubarikiwe Sana, unaitendea kazi elimu Yako.

Mimi elimu yangu inanifunza matamshi utokana na makuzi, lakini pia kifaa kinachotumika kuandika kinaweza kuwa na lugha yake.

Hapa hakuna anayeleta mada Kwa lengo la editing, tunaleta ujumbe tukimaliza tunapokea maoni Kwa lengo la kuboresha.

All in all umefanya kazi nzuri; Hongera Sana msomi
Nimependa majibu yako,

Una busara sana mkuu.

Tatizo la jf ujuaji mwingi
 
It's very painful!, most media correspondences ni deiwaka!.
Hili nililijua baada ya kifo cha Daudi Mwangosi wa Channel Ten.

P
Wafanyakazi wa hii sekta wanapitia magumu mengi, rejea sakata la Star TV kati ya Diallo na maslahi ya wafanyakazi wake.
 
Kuna kiapo pale ...hatutaachana mpk kifo kitakapotutenganisha...wewe uliapaje....na hii dhana ya mwili mmoja nayo utakuwa hauitaki Tena??
Tuachane na hizi mambo, turudi kwenye mada iliyo mezani.
P
 
Hivi hawa waandishi wa Tanzania wanasoma vyuo gani?!
Sasa huyu Beatrice Kamugisha naye ni mwandishi wa habari?!
Ana tofauti gani na Mama Ntilie wa pale Manzese!?
Mwandishi wa habari eti anaandika " anamzalilisha"!
Hivi kama kiswahili tu ni shida kwa waandishi wa Tanzania, vipi kiingereza ?!
Sijui hata kama Waandishi wa Tanzania wanafuatilia kuona wenzao kama wa hapo Kenya walivyo smart!
Waandishi wamekalia umbea umbea tu ,upstairs zeeero!
Ukiamua kuwa mwandishi wekeza kwenye taaluma yako! Onyesha tofauti kati yako na mtu ambaye si wa taaluma yako!
Mwandishi ambaye hata maana ya maneno hajui una tofauti gani na kibaka wewe!!
Utawasikia wakitamka maneno kama "arizi' "zarau",zahabu, zambi, zalilisha, mirasi, habali,!
Vyuo gani na walimu gani waliwafundisha haya maujinga??!
Mnatia hasira sana Makanjanja nyie!

Wewe ndio unatia aibu, ume boil kwa kutokujua lugha za kabila ni lugha pia. Hata kama sio kimataifa or kitaifa.
 
Back
Top Bottom