Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wanaomdai watalipwa na hela za figo? Waafrika? Mbona kama uilluminati huo? Dah, hapo tayari nimetag hao jamaa bila hata kunuia! Hii ndo mara yangu ya kwanza, na itakuwa yangu ya mwisho, kuwataja kwenye mitandao wa kijamii! Hapo wanaomdai watanunua rosari nyingi hadi wapewe discount! 😀Hahah kweli, wanaomdai watajifikiria upya kuhusu hayo madeni
Ni mkenya sio mbongo!..Punguza siasa!
Awamu ipi unayoizungumzia?hhahaha mpaka awamu hii ipite watu watauza mpaka ngozi
Sio kweli mkuu, kama procedure itakwenda vizuri, hakuna complication wala ugonjwa wowote ule, ni sawa na kutoa damu tu.Matatzo atakayoyapata na gharama zakee yatakuwa makubwa na Kugharimu zaidi ya hiyo hela aliyoipataaa so ni boraa aombee ndugu na jamii imchangiee...Kuliko kutengeneza ugomjwaaa ndo ajee kuombaa msaada kwa jamii maana hapo anatengeneza tatzo ambalo jamii itakuja kumsaidia kulitatua kuokoa uhai wake..
hhahaha mpaka awamu hii ipite watu watauza mpaka ngozi
Unacheka nini mkuu nishirikishe mkuuNimecheka sana, huu ukurupukaji wa Watanzania upon kwa damu.
Umeona eeh? Wanajuana kwa vilemba, wazee wa kuchuna ngozi! Dah, ni siku nyingi, enzi zile nikiwa shule msingi, yaani mtoto mdogo tu, hayo mambo yalikuwa yanatutisha si haba. Walikuwa wanadakana na yale matrela ya Tz yakielekea Namanga. Yalikuwa yakisimama tu barabarani hapo singonji kuona yatakayojiri! Nduki! Niliziogopaga zaidi ya vibwengo! 😀Nimecheka sana, huu ukurupukaji wa Watanzania upon kwa damu.