TANZIA Mtangazaji wa Radio One na ITV, Agnes Almasi afariki dunia

TANZIA Mtangazaji wa Radio One na ITV, Agnes Almasi afariki dunia

Mimi wa kwanza kusema hivyo. Juzi na mpaka sasa namuuguza mzee wangu ambaye alirudishwa kutoka Muhimbili baada ya kugundulika kuwa ana Covid 19. Aisee huu ugonjwa inasumbua. Kitu kibaya zaidi kwa huu ugonjwa ni kuwa ukimpata mtu basi yale magonjwa ya sijui kupigwa stroke, Sukari, pumu yanakuja kama mshale! Dah nisiseme sana!
Poleni!
 
R.I.P Dada Agness.

Nilichanganya mamba hapa nilidhani ni yule Fatuma Almasi Nyangasa, sitting yukowapi sikuizi.
 
Tuwe tunazingatia sana 'Ratiba' za Unywaji wa 'Dawa' hasa zile za 'Magonjwa' ya Hatari yalipo hapa duniani tafadhali ili Kujilinda na Kuwalinda pia.
Dahh Mkuu haubahatishi ukweli lazima usemwe kuokoa kizazi hiki dhidi ya "Gitaa la Dally Kimoko".
 
Hakuwa mwongeaji mwenye nuru usoni, it's like kuna kitu au labda ndio ilikuwa haiba yake, idk.

Pole kwa familia na ITV.
 
Mimi wa kwanza kusema hivyo. Juzi na mpaka sasa namuuguza mzee wangu ambaye alirudishwa kutoka Muhimbili baada ya kugundulika kuwa ana Covid 19. Aisee huu ugonjwa inasumbua. Kitu kibaya zaidi kwa huu ugonjwa ni kuwa ukimpata mtu basi yale magonjwa ya sijui kupigwa stroke, Sukari, pumu yanakuja kama mshale! Dah nisiseme sana!
Lakini utakuta Lisu amewarundika kama panya huku mkichekelea!
 
Unashauri mazishi yafanyike vipi?
Kama ya wengine , ila "Mvunaji hapangiwi pa kuweka Mazao"
Mungu hapangiwi, mara ooh awekwe mahali pema peponi, mara jehanam, aah, Utavuna ulichopanda, no more no less!
 
Poa tuuu ilimradi hufanyiwi wewe. Hayakuhusu.

Acha ibada za Sanamu, inanihusu kwakuwa ni mtanzania mwenzangu kafariki, we vipi wewe?
Matendo yake yanaandamana naye, acheni kupaka makaburi chokaa kwa nje wakati ndani kuna mizoga inanuka kuliko panya buku aliyefia darini.
 

Acha ibada za Sanamu, inanihusu kwakuwa ni mtanzania mwenzangu kafariki, we vipi wewe?
Matendo yake yanaandamana naye, acheni kupaka makaburi chokaa kwa nje wakati ndani kuna mizoga inanuka kuliko panya buku aliyefia darini.
maiti hasemwi kwa mapungufu yake bt anasemwa kwa mazuri yake nakutakiwa pumziko jema maana binadam wote tuwakosaji.
 
Back
Top Bottom