Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...wameisharopoka hivyo kule Insta!!...ovyooo![emoji35]Manyumbu yatakuja kusema ni corona
Unashauri mazishi yafanyike vipi?Mungu awape faraja familia yake.
ANGALIZO: Ibada ya kuombea marehemu ni "ibada ya sanamu"
Poleni!Mimi wa kwanza kusema hivyo. Juzi na mpaka sasa namuuguza mzee wangu ambaye alirudishwa kutoka Muhimbili baada ya kugundulika kuwa ana Covid 19. Aisee huu ugonjwa inasumbua. Kitu kibaya zaidi kwa huu ugonjwa ni kuwa ukimpata mtu basi yale magonjwa ya sijui kupigwa stroke, Sukari, pumu yanakuja kama mshale! Dah nisiseme sana!
Duh Hatari sana Mkuu ni Kazeze ni Kazeze.Na lile 'Gitaa' zuri la 'Dally Kimoko' linapenda kweli 'Kuwaburudisha' Wafanyakazi wa ITV na Radio na bahati nzuri hata Wao nao wanalipenda sana.
Dahh Mkuu haubahatishi ukweli lazima usemwe kuokoa kizazi hiki dhidi ya "Gitaa la Dally Kimoko".Tuwe tunazingatia sana 'Ratiba' za Unywaji wa 'Dawa' hasa zile za 'Magonjwa' ya Hatari yalipo hapa duniani tafadhali ili Kujilinda na Kuwalinda pia.
😂😂😂😂😂😂😂😂Wewe mpuuzi tu.
Ujanja wote unaojitia unao lakini hukujua kwamba kwenye nafasi ya ugombea urais wa JMT mgombea Urais na makamu wake wanatakiwa wawe wanatoka pande mbili tofauti za muungano.
Mnhhh!!!sema hii siku alionekana kama amepoa sana
mimi hapa mkuu[SUB]Haya embu TUPITISHE Rambi rambi sasa maana naona mnajisahau shekeli nani atapokea kwa niaba ya family na ataziwasilisha [/SUB]
😋😋😋Enjoy boss..Ukija inbox nitakuambia ..tena nitakukaribisha aise ..ni watamu balaa.
Lakini utakuta Lisu amewarundika kama panya huku mkichekelea!Mimi wa kwanza kusema hivyo. Juzi na mpaka sasa namuuguza mzee wangu ambaye alirudishwa kutoka Muhimbili baada ya kugundulika kuwa ana Covid 19. Aisee huu ugonjwa inasumbua. Kitu kibaya zaidi kwa huu ugonjwa ni kuwa ukimpata mtu basi yale magonjwa ya sijui kupigwa stroke, Sukari, pumu yanakuja kama mshale! Dah nisiseme sana!
Kama ya wengine , ila "Mvunaji hapangiwi pa kuweka Mazao"Unashauri mazishi yafanyike vipi?
Poa tuuu ilimradi hufanyiwi wewe. Hayakuhusu.
maiti hasemwi kwa mapungufu yake bt anasemwa kwa mazuri yake nakutakiwa pumziko jema maana binadam wote tuwakosaji.
Acha ibada za Sanamu, inanihusu kwakuwa ni mtanzania mwenzangu kafariki, we vipi wewe?
Matendo yake yanaandamana naye, acheni kupaka makaburi chokaa kwa nje wakati ndani kuna mizoga inanuka kuliko panya buku aliyefia darini.