Mtangazaji wa Wasafi media azawadiwa gari na uongozi wake

Kingine washaurini wale wenye kipind cha mchana waache shobo za kuwapgia artist wa mbele..

Juzi nmewaskia nkaishia kucheka tu..

Maswali yao utaskia
Kwanini umeamua kuuita jina hili album yako

Album yako utarelease lini

Instagram umem unfollow AKA kwanini

Kwakweli n vtuko. Waambieni waongeze ubunifu tu. Hzo intaview hazina tija yeyote kwa msikilizaj wa shinyang
 
Wewemwenyewe unajichanganya kwenye maelezo yako umesema kwanini anapowapa gari awapewi na kadi hapo hapo unasema Tena kwanini anawanyan'ganya pindi anapotofautiana nao huoni Kama umeingia choo Cha kike?
 
Lugha nzuri ni kwamba wanaazimishwa, ukitofautiana nao wanachukua gari lao
 
Aisee, hapo wasafi media sijui nani hajapita na hiyo pisi,
 
WATUONESHE KADI BASI LIKIWA NA JINA LAKE

ova
 

Diamond anawatomba hawa watoto wazuri wazuri, mbona siku zote hagawi zawadi kwa wanaume? Labda yule mzee wa Marquiz band
 
Shehe Kipozeo alishawahi kuwa mtangazaji wao hapo, lakini hawakumpa hata baiskeli. Waambieni waache upendeleo.
 
Kama kawaida ya kiki wachafu fc. Gari la esma harusini limeyeyuka
Wapenda kiki wale eti alisema hakulipenda kaagiza lingine! Ila na ndoa yake nayo imepoooooza utafikiri ilipata stroke siku ile ukumbini kulikoni??
 
Angekuwa wa kiume sawa lakini wa kike??
Gari hivi hivi yaani hivi hivi!!!naomba niishie hapo
 
Angekuwa wa kiume sawa lakini wa kike??
Gari hivi hivi yaani hivi hivi!!!naomba niishie hapo
Unataka kuniambia hata luakamba ambaye Ni me naye kadinywa ndio akapewa gari na diamond?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…