Amepoteza credit ya watu kumtilia maanani,mbona mambo ya kupigwa risasi na makovu yake ameongelea,nadhani mambo ya tengua tengua ilipaswa inandaliwe press ya vyombo mbalimbali kisha wanatoa tamko,pale palikuwa ni kampeni tu,hakupaswa kuleta longolongo.mkubali tu mlikuwa na bad day today.matokeo yake mkapaniki hasira zote mkamalizia TBC.sasa ngoja uone amsha ya kesho Dodoma,ndio utaona tofauti.
Amepoteza kwa watesi wake lkn c kwa wananchi ..wengi bado wanapenda kusikia kutoka kwake ilikuwaje akashambuliwa ..kwenye hzo kura 8,000,000/= ujue chadema tutavuna kura. 3,000,000 kutoka ccm na ukijumlisha na zetu tutafikisha 15,000,000Amepoteza credit ya watu kumtilia maanani,mbona mambo ya kupigwa risasi na makovu yake ameongelea,nadhani mambo ya tengua tengua ilipaswa inandaliwe press ya vyombo mbalimbali kisha wanatoa tamko,pale palikuwa ni kampeni tu,hakupaswa kuleta longolongo.mkubali tu mlikuwa na bad day today.matokeo yake mkapaniki hasira zote mkamalizia TBC.sasa ngoja uone amsha ya kesho Dodoma,ndio utaona tofauti.
Una hakika wanataka kujua ilikuwaje akashambuliwa,nani asiyejua ilikuwaje akashambuliwa.ebu nikuulize mkurugenzi gani atatangaza chadema kupata kula mil 15,hata milioni 2 hakuna mkurugenzi atakayetangaza chadema kupata kura hizo.nani anawalipa mshahara NEC?[emoji23][emoji23][emoji2960][emoji2960]Amepoteza kwa watesi wake lkn c kwa wananchi ..wengi bado wanapenda kusikia kutoka kwake ilikuwaje akashambuliwa ..kwenye hzo kura 8,000,000/= ujue chadema tutavuna kura. 3,000,000 kutoka ccm na ukijumlisha na zetu tutafikisha 15,000,000
Sio watu wote wana dhiki,na sio watu wote wametekwa.Hivi mtu kama lissu ndio wa kutishiwa nyau ? kama magufuli alipata mil 3 unusu 2015 kabla hajaleta dhiki na utekaji , unadhani sasa anaweza kuipiku mil 10 aliyopata mgombea wa chadema 2015 ?
Kama umelipwa rudisha hela za watu
kula ni siri ya mtu, sasa wewe kwa research gan uliyofanya mpaka useme makijan wanawapiga kula milion 8 mpaka hv sasa? kwa kipindi kirefu sana nilikuwa nafuatiliaga mabandiko yako na kuona unaandika hoja zenye mashiko sana lakin kwa hili hapana, nimeshuka kwenye ilo gar lako wadanganye sengine
You have reveal the truth
Kiingereza sahihi kilitakiwa kiwe ' You have revealed the truth' na siyo hii yako ya 'You have reveal the truth' sawa? Hata hivyo bado nimekuelewa.
Kiingereza sahihi kilitakiwa kiwe ' You have revealed the truth' na siyo hii yako ya 'You have reveal the truth' sawa? Hata hivyo bado nimekuelewa.
FACT.. hata yeye sijui ni lini alihakiki taarifa zake.. sina hakika kama anasifa za kupiga kura uchaguzi huu.UTANGULIZI
Sijawahi hata Siku moja kuficha Hisia zangu za 'Kukukubali' sana hasa kwa aina ya 'Misimamo' yako thabiti, uwezo wa Kufikiri ( Akili ) na pia Kuchambua mambo 'Kiumakini' kabisa. Na hapa nisikufiche si Mimi tu ambaye ni mwana CCM nakiri na kulisema hili ila nina uhakika hata wana CCM wengi tu nao wapo kama Mimi juu yako sema tu hawakuonyeshi Kiuwazi japo Mioyoni mwao upo sana tu.
MTAZAMO
Sina shaka kabisa na Wewe Kutia Nia na hatimaye Chama chako cha CHADEMA Kukuamini na Kukuteua kuwa Mgombea wao kwani Kisheria na Kikatiba hii ni Haki ya Kila Mtanzania mwenye Sifa Kamili kufanya hivyo. Wasiwasi wangu Kwako upo sehemu ndogo tu kwamba umewahi kufanya 'Timing' Kipindi hiki kibaya Kwako Kisiasa na badala yake kwa mwaka 2025 ndiyo ulikuwa muda Muafaka.
USICHOKIJUA
Mtani wangu kutoka Singida Tundu Lissu najua unaweza 'usiamini' ila kwakuwa GENTAMYCINE 'nakupenda' ngoja nikuambie tu ukweli kuwa pamoja na kwamba unaona una Watu (Wafuasi) wengi wakiwa nawe kila uendako ila ukweli ni kwamba 'Kitakwimu' ni 25% tu hao unaowaona ndiyo 'Wamejiandikisha' Kupiga 'Kura' mwaka huu na 'Wamehakiki' vyema kabisa Majina yao Vituoni.
ULILOLISAHAU WEWE NA CHADEMA YAKO
Hapa sitokulaumu Wewe sana Mtani wangu Tundu Lissu kwakuwa muda mwingi ulikuwa katika 'Matibabu' yako huko 'Ughaibuni' ila lawama zangu nyingi nazipeleka kwa CHADEMA kwa 'Kujisahau' Kwao muda mwingi 'Kuwahimiza' Wanachama wao waende 'Kujiandikisha' Vituoni na badala yake wao muda Wao mwingi walitumia 'Kuwekeza' katika 'Kupambana' tu na Serikali ( Dola )
UMAKINI WA CCM UPO HAPA
Tayari CCM walishafanya 'Utafiti' wao wa ndani tena 'Kiumakini' kabisa na 'Kujiridhisha' kuwa wana uhakika wa Kura 8,000,000 ( Milioni Nane ) kutokana na 'Wanachama' wao nchi nzima hivyo wakaendelea katika Kuwatafuta wengine ili kuongeza hiyo idadi huku 'wakiwahimiza' sana Wanachama wao hao 'Kujiandikisha' na hata 'Kuhakiki' Majina yao Jambo ambalo wamefanikiwa 100%.
MKAKATI WA KISIASA ULIOIMALIZA KABISA CHADEMA
Wakati CHADEMA yako muda mwingi 'ikiwekeza' katika 'Kulaumu' na 'Kupambana' na Mamlaka ( Dola ) hasimu walisahau kuwa Siasa zote duniani pia huwa zina 'Umafia' ndani yake na mliosoma 'Political Science' mtanielewa hivyo baada ya 'Kuhisiwa' kuwa mtaendelea kuwa 'Tishio' mkatafutiwa 'Adui Rafiki' wa huko huko 'Upinzani' asaidiwe na wa Kwao ili 'Kuzigawa' Kura zenu nyingi.
FAIDA PEKEE AMBAYO TUTAIPATA KUTOKA KWAKO
Mtani wangu Tundu Lissu wala 'usidanganyike' na 'wasikudanganye' uwezo wa Wewe Kushinda na kuwa Rais wetu haupo na huna hasa kutokana na 'Mikakati' iliyoko na pia kwa 'Mpinzani' wako kufukia karibia 90% ya yale 'Mashimo' yote ya 'Kimapungufu' katika 'Utawala' wake. Kitu pekee utakachofanikiwa nacho ni 'Kuwajaza' tu Watanzania wachache Imani za Chuki na Majungu pia.
USHAURI WANGU KWAKO
Kwakuwa nina uhakika kuwa hutoweza 'Kutoboa' hata iweje ( japo utajitutumua ) ningependa tumia sasa uwezo wako huu mkubwa wa 'Ushawishi' ulionao katika 'Kuwahimiza' Watanzania wanaokuamini na Wafuasi wako 'Wawachague' Wabunge wengi wa CHADEMA ili angalau wakiwa wengi basi muweze kuwa na 'Nguvu' Bungeni ambayo inaweza 'Kukujenga' kwa 2025 Ukigombea.
UWEPO WAKO NI TIJA KUBWA KWA CCM KUENDELEA KUJIJENGA ZAIDI
Nakujua na ni matuamini yangu makubwa kuwa hata katika Mikutano yako ya Kampeni zilizoanza utakuwa unatumia muda mwing sana 'Kuinanga' ile mbaya CCM na Mwenyekiti wake ila usisahau tu kuwa kwa kadri utakavyokuwa 'unawasema' CCM na Rais wao ndiyo utakuwa 'unawafunua' na 'kuwajenga' zaidi ili wazidi 'Kujikita' na 'Kujidhatiti' kabisa Madarakani na Kiutawala.
HITIMISHO
Nakutakia tu Kampeni njema Mtani wangu Tundu Lissu Wewe pamoja na Vyama vingine vyote vya Upinzani nchini Tanzania ila niwaombeni tu tumieni 'Muhula' huu wa mwisho wa Rais Dkt. Magufuli kuwepo 'Madarakani' kwa nyie 'Wapinzani' Kwanza Kujitathmini na Kujijenga zaidi huku mkiwa 'Wamoja' na muache 'Unafiki' ili basi Chaguzi zijazo muingie mkiwa ni Wamoja kabisa.
Wako Mtani wako
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ( Majina yangu Kamili ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo )
HanaFACT.. hata yeye sijui ni lini alihakiki taarifa zake.. sina hakika kama anasifa za kupiga kura uchaguzi huu.
UTANGULIZI
Sijawahi hata Siku moja kuficha Hisia zangu za 'Kukukubali' sana hasa kwa aina ya 'Misimamo' yako thabiti, uwezo wa Kufikiri ( Akili ) na pia Kuchambua mambo 'Kiumakini' kabisa. Na hapa nisikufiche si Mimi tu ambaye ni mwana CCM nakiri na kulisema hili ila nina uhakika hata wana CCM wengi tu nao wapo kama Mimi juu yako sema tu hawakuonyeshi Kiuwazi japo Mioyoni mwao upo sana tu.
MTAZAMO
Sina shaka kabisa na Wewe Kutia Nia na hatimaye Chama chako cha CHADEMA Kukuamini na Kukuteua kuwa Mgombea wao kwani Kisheria na Kikatiba hii ni Haki ya Kila Mtanzania mwenye Sifa Kamili kufanya hivyo. Wasiwasi wangu Kwako upo sehemu ndogo tu kwamba umewahi kufanya 'Timing' Kipindi hiki kibaya Kwako Kisiasa na badala yake kwa mwaka 2025 ndiyo ulikuwa muda Muafaka.
USICHOKIJUA
Mtani wangu kutoka Singida Tundu Lissu najua unaweza 'usiamini' ila kwakuwa GENTAMYCINE 'nakupenda' ngoja nikuambie tu ukweli kuwa pamoja na kwamba unaona una Watu (Wafuasi) wengi wakiwa nawe kila uendako ila ukweli ni kwamba 'Kitakwimu' ni 25% tu hao unaowaona ndiyo 'Wamejiandikisha' Kupiga 'Kura' mwaka huu na 'Wamehakiki' vyema kabisa Majina yao Vituoni.
ULILOLISAHAU WEWE NA CHADEMA YAKO
Hapa sitokulaumu Wewe sana Mtani wangu Tundu Lissu kwakuwa muda mwingi ulikuwa katika 'Matibabu' yako huko 'Ughaibuni' ila lawama zangu nyingi nazipeleka kwa CHADEMA kwa 'Kujisahau' Kwao muda mwingi 'Kuwahimiza' Wanachama wao waende 'Kujiandikisha' Vituoni na badala yake wao muda Wao mwingi walitumia 'Kuwekeza' katika 'Kupambana' tu na Serikali ( Dola )
UMAKINI WA CCM UPO HAPA
Tayari CCM walishafanya 'Utafiti' wao wa ndani tena 'Kiumakini' kabisa na 'Kujiridhisha' kuwa wana uhakika wa Kura 8,000,000 ( Milioni Nane ) kutokana na 'Wanachama' wao nchi nzima hivyo wakaendelea katika Kuwatafuta wengine ili kuongeza hiyo idadi huku 'wakiwahimiza' sana Wanachama wao hao 'Kujiandikisha' na hata 'Kuhakiki' Majina yao Jambo ambalo wamefanikiwa 100%.
MKAKATI WA KISIASA ULIOIMALIZA KABISA CHADEMA
Wakati CHADEMA yako muda mwingi 'ikiwekeza' katika 'Kulaumu' na 'Kupambana' na Mamlaka ( Dola ) hasimu walisahau kuwa Siasa zote duniani pia huwa zina 'Umafia' ndani yake na mliosoma 'Political Science' mtanielewa hivyo baada ya 'Kuhisiwa' kuwa mtaendelea kuwa 'Tishio' mkatafutiwa 'Adui Rafiki' wa huko huko 'Upinzani' asaidiwe na wa Kwao ili 'Kuzigawa' Kura zenu nyingi.
FAIDA PEKEE AMBAYO TUTAIPATA KUTOKA KWAKO
Mtani wangu Tundu Lissu wala 'usidanganyike' na 'wasikudanganye' uwezo wa Wewe Kushinda na kuwa Rais wetu haupo na huna hasa kutokana na 'Mikakati' iliyoko na pia kwa 'Mpinzani' wako kufukia karibia 90% ya yale 'Mashimo' yote ya 'Kimapungufu' katika 'Utawala' wake. Kitu pekee utakachofanikiwa nacho ni 'Kuwajaza' tu Watanzania wachache Imani za Chuki na Majungu pia.
USHAURI WANGU KWAKO
Kwakuwa nina uhakika kuwa hutoweza 'Kutoboa' hata iweje ( japo utajitutumua ) ningependa tumia sasa uwezo wako huu mkubwa wa 'Ushawishi' ulionao katika 'Kuwahimiza' Watanzania wanaokuamini na Wafuasi wako 'Wawachague' Wabunge wengi wa CHADEMA ili angalau wakiwa wengi basi muweze kuwa na 'Nguvu' Bungeni ambayo inaweza 'Kukujenga' kwa 2025 Ukigombea.
UWEPO WAKO NI TIJA KUBWA KWA CCM KUENDELEA KUJIJENGA ZAIDI
Nakujua na ni matuamini yangu makubwa kuwa hata katika Mikutano yako ya Kampeni zilizoanza utakuwa unatumia muda mwing sana 'Kuinanga' ile mbaya CCM na Mwenyekiti wake ila usisahau tu kuwa kwa kadri utakavyokuwa 'unawasema' CCM na Rais wao ndiyo utakuwa 'unawafunua' na 'kuwajenga' zaidi ili wazidi 'Kujikita' na 'Kujidhatiti' kabisa Madarakani na Kiutawala.
HITIMISHO
Nakutakia tu Kampeni njema Mtani wangu Tundu Lissu Wewe pamoja na Vyama vingine vyote vya Upinzani nchini Tanzania ila niwaombeni tu tumieni 'Muhula' huu wa mwisho wa Rais Dkt. Magufuli kuwepo 'Madarakani' kwa nyie 'Wapinzani' Kwanza Kujitathmini na Kujijenga zaidi huku mkiwa 'Wamoja' na muache 'Unafiki' ili basi Chaguzi zijazo muingie mkiwa ni Wamoja kabisa.
Wako Mtani wako
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ( Majina yangu Kamili ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo )
Wafanyakazi wa serikalini hawazidi hata 800,000 (laki name) labda uongeze wa sekta binafsi na wenywe kiujumla haitakuwa zaidi 4,500,000 (milioni nne na nusu) halafu ujue kati ya hao wengine ni CCM kindakindaki hivyo kazi kubwa mno kwa upinzani.Watakaompigia kura Lisu ni wafuatao-
1.Wafanyakazi waliokosa nyongeza ya mishahara kwa miaka 5 ilihali gharama za maisha zineongezeka maradufu.
2.Wafanyakazi waliotumbuliwa kwa uhakiki wa vyeti na kunyinwa haki zao za msingi.
3.Vijana waliorundikana mitaani wasijue nini cha kufanya kwa ukosefu wa ajira kwa miaka mingi.
3.wafanyabiashara waliofilisiwa biashara zao,waliobambikiziwa kodi zisizo na mfano.
4.Wafanyakazi walioongezewa makato ya HESLB bila kuongeza mishahara.
5.Watu waliokerwa na kukosa furaha ndani ya nchi yao kwa kukosa uhuru wa kujieleza,uminywaji wa demokrasia na ukandamizaji wa haki za kiraia na kibinadamu.
kwa ufupi,watu niliowataja hapo juu ni wanachama wa CCM,CHADEMA,ACT, na wengine hawana vyama kama mimi.
Msingi wa kukubalika ni HAKI,Haki huinua taifa.
Ni kati ya pointless hao, anakurupuka tu.75% ya hao wanaccm mil 8 wameichoka ccm na wako tayari kumpigia Lisu kura.
Hivi mtu kama lissu ndio wa kutishiwa nyau ? kama magufuli alipata mil 3 unusu 2015 kabla hajaleta dhiki na utekaji , unadhani sasa anaweza kuipiku mil 10 aliyopata mgombea wa chadema 2015 ?
Kama umelipwa rudisha hela za watu
NECCCM wanayo matokeo ya Urais tokea zamani wanatembea nayo mifukoni, kwa maana ingine ni kwamba uchaguzi ni bure tu, kwani iwe isiwe, CCM ichaguliwe na isichaguliwe watamtangaza mtukufu malaika tokea chato kuwa Rais, bila Tume huru ya uchaguzi ni vigumu kuzuia uchakachuaji wa Tumeccm milele.Nchi hii bana kwa kweli Ina Mambo mengi sana na watu wa aina yake. NEC wanatuambia Kuna wapiga kura 29 milioni waliojiandikisha kupiga kura mwaka huu. CCM kwa mujibu wa pole pole inawanachama Kama 14 milioni, Je, hao 15 milioni ni akina nani?
Nini maana ya PHD tuanze kwanza na wewe isije ikawa wewe ndio kamishna wa vilazakuna mda hua nawashangaa sana, hii mada ya lissu na magufuli ilitakiwa iwe ishaisha mda mrefu sana! huezi kumlinganisha mtu mwenye PHD na mtu mwenye diploma ya imla za sheria, there is no way lissu anaweza battle na magufuli because he is smart na sio kwamba tunawachukia ila penya ukweli tunasema!
kuna uwezekano hata cdm isje kuskia tena kwa sababu hamko serious, wewe haiwezekani useme kuna corona alafu uite mkutano, hujavaa barakoa na hufuati all necessary steps ni kwamba unajikanyaga, magu alisema hakuna corona na anasmamia, ina maana hakuna kuvaa mask na shuhuli ziendelee kama kawa, huu ndo uanaume sasa! ukiangalia hata taarifa za leo imefika stage watu wanaandamana kupinga utapeli wa corona, means magufuli is 1000 years ahead, haya mambo ya kuombea sjui risasi zmebaki mwilini ni maswala ya kuandika imla darasa la tatu , yaliotokea mbagala iwe fundisho
Usiwapangie chadema vya kusema waacha waongee vyao kwani nani alikutuma ukampige risasi Tundu lisu? Kama hukutaka aongelee maumivu yake ungeacha kumfanyia ushetani wako, kama huko CCM mna sera nzuri za maana si uende kuwaongezea maarifa huko waache kuwahujumu kuwadhoofisha chadema kuwabambikia kesi kuwapiga kuwafanyia kila baya wapinzani.kuna mda hua nawashangaa sana, hii mada ya lissu na magufuli ilitakiwa iwe ishaisha mda mrefu sana! huezi kumlinganisha mtu mwenye PHD na mtu mwenye diploma ya imla za sheria, there is no way lissu anaweza battle na magufuli because he is smart na sio kwamba tunawachukia ila penya ukweli tunasema!
kuna uwezekano hata cdm isje kuskia tena kwa sababu hamko serious, wewe haiwezekani useme kuna corona alafu uite mkutano, hujavaa barakoa na hufuati all necessary steps ni kwamba unajikanyaga, magu alisema hakuna corona na anasmamia, ina maana hakuna kuvaa mask na shuhuli ziendelee kama kawa, huu ndo uanaume sasa! ukiangalia hata taarifa za leo imefika stage watu wanaandamana kupinga utapeli wa corona, means magufuli is 1000 years ahead, haya mambo ya kuombea sjui risasi zmebaki mwilini ni maswala ya kuandika imla darasa la tatu , yaliotokea mbagala iwe fundisho