Mtanzania Abdulrazak Gurnah ashinda Tuzo ya Nobel katika Fasihi

Mtanzania Abdulrazak Gurnah ashinda Tuzo ya Nobel katika Fasihi

Kwa Mujibu wa sheria ya uraia Tanzania, Mzanzibari ni Mtanzania na kwa mujibu wa sheria ya Mzanzibari, mtu yeyote ambaye kabla au tarehe 12 Januari 1964 alikuwa raia wa sultani huyo ni Mzanzibari
Bila shaka hizo ni sheria Za mvamizi Tanganyika lakini kwa sheria Huo muungano haupo
 
Mzanzibari aliyekimbia vitisho vya waafrika dhidi ya waarabu.

Kwamba bado ameshikilia uraia wake wa Tanzania ni jambo la kujivunia.
Huyu ni Mwarabu, genetic make up yake ni Arabic genes.......... Tunataka mzaliwa wa Tandahimba apate Nobel Prize, siyo mwarabu halafu ngozi nyeusi mnajisifu
 
Uraia pacha hatuutaki sababu - CCM.

Wakitoboa huko mafanikio ya awamu ya sita.

Tuna walaakinini mahali!
nchi ya majuha! brazaj , mimi niwe mkweli, nitshangilia ikia black genes zitapata tuzo hiyo. Hawa ni waarabu, wanadharau watu weusi tutakuwa tujajidanganya kuwa Mtanzania kapata tuzo ya Nobel.
Sawa ni mtanzania kwa vile amezaliwa Tanzania lkn si gene za mwafrika mweusi....... wanasemaga kuwa Africa North of Sahara has got nothing in common to do with Africa South of Sahara
 
nchi ya majuha! brazaj , mimi niwe mkweli, nitshangilia ikia black genes zitapata tuzo hiyo. Hawa ni waarabu, wanadharau watu weusi tutakuwa tujajidanganya kuwa Mtanzania kapata tuzo ya Nobel.
Sawa ni mtanzania kwa vile amezaliwa Tanzania lkn si gene za mwafrika mweusi....... wanasemaga kuwa Africa North of Sahara has got nothing in common to do with Africa South of Sahara

Black genes kama walizo nazo kina Kingai, Mahita au Sirro zina umuhimu gani mkuu?

Hawa ukiwakuta wanapambana na nyoka si heri kuwa upande wa nyoka ikaeleweka hivyo mkuu?
 
Black genes kama walizo nazo kina Kingai, Mahita au Sirro zina umuhimu gani mkuu?

Hawa ukiwakuta wanapambana na nyoka si heri kuwa upande wa nyoka ikaeleweka hivyo mkuu?
Ndiyo maana nasema genes za kiafrika ni rubbish, haziwezi kuvuna Nobel Prize, si vema kujisifu eti mtanzania kapata ......... akia Siro, Jiwe Hangaya and the whole team hawawezi kuvuna tuzo hiyo.
Hizo ni gene za weupe... 😀 😀 😀 😀 😀
 
Ndiyo maana nasema genes za kiafrika ni rubbish, haziwezi kuvuna Nobel Prize, si vema kujisifu eti mtanzania kapata ......... akia Siro, Jiwe Hangaya and the whole team hawawezi kuvuna tuzo hiyo.
Hizo ni gene za weupe... 😀 😀 😀 😀 😀

Mkuu nimekusoma vyema loud ana clear. Heshima kwako.

Inawezekana tuna matatizo makubwa zaidi.

Inawezekana huu umatumbi huu ule unyani nyani ungalimo na hasa kwa hii mienzetu:

IMG_20211004_150742_609.jpg


Ni vipi mtu mzima awaye yote asione umuhimu wa haki, usawa, uhuru na demokrasia katika mahusiano yake na watu wengine?

Jiwe, Hangaya, Kingai, Mahita, Sirro na wote hivi hawaoni mapungufu yao kama binadamu ambaye ni mnyama daraja ya juu zaidi?
 
iwe, Hangaya, Kingai, Mahita, Sirro na wote hivi hawauoni kweli kushabihiana kwao na primates?
can you imagine wanayoyafanya hawa? Hata ile conscious hawana, dhamira zao zimekufa, hawa ni sawa mtu anamlala mama yake au analala na baba yake anaona sawa tu! dhamira haimsuti kuwa hii ni haramu kwa Mungu, kwa watu, kwa miti, kwa wanyama, kwa majani na kwa kila kitu!
 
can you imagine wanayoyafanya hawa? Hata ile conscious hawana, dhamira zao zimekufa, hawa ni sawa mtu anamlala mama yake au analala na baba yake anaona sawa tu! dhamira haimsuti kuwa hii ni haramu kwa Mungu, kwa watu, kwa miti, kwa wanyama, kwa majani na kwa kila kitu!

Nakubaliana nawe 100%.

Kwamba ni ngumu kuwatendea wengine mtu usiyopenda wewe kutendewa?

Bado ujiite binadamu na uwashangae wanapohoji unaowatendea ndivyo sivyo?

Bado hukosekani misikitini na makanisani ukiitisha kuombewa?

Ama!

Pana mwenda wazimu hapa. Kama si wao basi ni sisi.
 
Kama haileti hela Basi haimake sense. Afu picha kila siku tunawakumbusha mnataka mpaka muwe mnabembelezwa au?lete hio picha ya mshindi wa nobe!
Toka yule PM wa Uhabeshi apate hiyo Tuzo halafu akaja akaanza kuwatandika kule Tigray ndo nikaona Mwafrika ni hamnazo asee.

nyematz_1633458596185.jpg
 
Hongera yake mtanzania mwenzetu
Kuna wapuuzi wao wanafanya kazi kwa sifa..leo dunia imekutambua.
 
Ni mwanafasihi Abdulrazak Gurnah

Source: Al jazeera

Mungu ni mwema wakati wote

=====

Mwandishi kutoka Tanzania, Abdulrazak Gurnah ametangazwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel 2021 kwa upande wa Fasihi (Literature)

Gurnah ambaye anaishi England alizaliwa Zanzibar na ni Profesa wa Chuo Kikuu cha Kent. Ameandika riwaya (Novels) kadhaa zikiwemo "Paradise" na "Desertion"


Tanzanian author Abdulrazak Gurnah has won the 2021 Nobel Prize in literature, the award-giving body said.

The prestigious prize was awarded on Thursday by the Swedish Academy, which cited Gurnah’s “uncompromising and compassionate penetration of the effects of colonialism and the fate of the refugee”.

Born in Zanzibar and based in England, Gurnah is a professor at the University of Kent. His novel “Paradise” was shortlisted for the Booker Prize in 1994.

The prestigious award comes with a gold medal and 10 million Swedish kronor ($1.14m).

Gurnah would have normally received the Nobel from King Carl XVI Gustaf at a formal ceremony in Stockholm on December 10, the anniversary of the 1896 death of scientist Alfred Nobel who created the prizes in his last will and testament.

But the in-person ceremony has been cancelled for the second straight year due to the pandemic and replaced with a televised ceremony showing the laureates receiving their awards in their home countries.

Of the 118 literature laureates since the first Nobel was awarded in 1901, 95 – or more than 80 percent – have been Europeans or North Americans.

Last year’s prize went to American poet Louise Gluck for what the judges described as her “unmistakable poetic voice that with austere beauty makes individual existence universal”.

Gluck was a popular choice after several years of controversy. In 2018, the award was postponed after sex abuse allegations rocked the Swedish Academy, the secretive body that chooses the winners.

Source: Tanzania’s Abdulrazak Gurnah wins 2021 Nobel Prize in literature
Labda mtanzania wa chato,kaondoka zenji kabla ya uhuru wa znz ni raia wa uk...mwambie msigwa atulize kalio
 
nchi ya majuha! brazaj , mimi niwe mkweli, nitshangilia ikia black genes zitapata tuzo hiyo. Hawa ni waarabu, wanadharau watu weusi tutakuwa tujajidanganya kuwa Mtanzania kapata tuzo ya Nobel.
Sawa ni mtanzania kwa vile amezaliwa Tanzania lkn si gene za mwafrika mweusi....... wanasemaga kuwa Africa North of Sahara has got nothing in common to do with Africa South of Sahara
Kwani umeambiwa lazima ww ushangilie ?
 
Haya siyo majina ya kitanzania. Nilitegemea majina ya akina Mbwana, au Rutashobolwa au Moshi kumbe ni waarabu/wagunya..
Acha hizo bhana sisi wangunya tumefanyaje ten.
 
Back
Top Bottom