Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
Maana yake wewe na Kiranga mnasafisha na kuogesha wazee wa kizungu huko mastate😀😃😄😁😆Kwani mbeba maboksi maana yake ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana yake wewe na Kiranga mnasafisha na kuogesha wazee wa kizungu huko mastate😀😃😄😁😆Kwani mbeba maboksi maana yake ni nini?
Uwe unalipwa 2million za masimango wakati mwanasiasa anapiga 16 m za kupiga makofiWatu potential wa taifa wanaenda kufanya KAZI Marekani , sisi kama taifa mnaturudishia mwili Kuzika
Real CIA wamefanya yaoCIA wapo kazini yaani mtu adondoke kwenye maji peke yake uchunguzi ufanyike juu ya tukio hilo.
In your dreams.Maana yake wewe na Kiranga mnasafisha na kuogesha wazee wa kizungu huko mastate😀😃😄😁😆
You can say whatever you want but it's what it'sSasa mzee ulitaka waandikaje? Kweli "mental case is real"
Yaani uko kwenye yatch unakula bata halafu uvae life jacket kama uko kwenye mtumbwi?Kwa safety measures za mambelez inawezekana kweli wakapanda boat bila life jackets? Pole kwa familia ya mwamba!!
Mkuu,Yaani uko kwenye yatch unakula bata halafu uvae life jacket kama uko kwenye mtumbwi?
Sina uzoefu mkuu, nimeuliza ili kujua.Yaani uko kwenye yatch unakula bata halafu uvae life jacket kama uko kwenye mtumbwi?
Naona player haters washaanza kuwasigolea [emoji1]In your dreams.
😃😃😃Sawa classmate....😜
Jamaa anaamini kabisa mimi nabeba maboksi 😀.Naona player haters washaanza kuwasigolea [emoji1]
Ova
Polisi wafanye uchunguziRIP.. kifo kipo tu na hakijawahi kumridhisha mtu kila ataekufa lazima mambo yawe mengi isitoshe huyu jamaa sio genius sana wa kutetelesha ulimwengu siku yake tu imefika.
ukisoma secondary 2001 unamaliza 2008 kilichonishangaza ni mwamba kua na miaka 34 wakati miambo wote tuliomaliza huo mwaka mwaka kesho tunakua watu wa makamo kamili team 40 mwenzetu alituzunguka akaingia form one na miaka kumi
kiafrika afrika kwa akili zake nyingi si ajabu ungekuta anatumikia nchi kwenye mambo haramu ya kompyuta mfano kuiba kura za wapinzan kwenye mifumo ya kompyuta, kudukua taarifa za wapinzani!Watu potential wa taifa wanaenda kufanya KAZI Marekani , sisi kama taifa mnaturudishia mwili Kuzika
ikiwa hivyo basi wengi huwa wanazimishwa maana kuna vichina, vihindi viyahudi stanford, MIT ni kama nyumbani kwao na wanavumbua vita vya kufa mtu.Pengine kavumbua kitu bora zaidi hapo google na vile ni mweusi wamemzimisha na uvumbuzi wake wamepita nao, dunia hakuna wa kumwamini.
Mkuu, unataka kuvuka mpaka sasa.Asante mkuu, na mkono wa pole napokea..😥