pnkuru
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 283
- 182
😢😢😢😢😢Watu potential wa taifa wanaenda kufanya KAZI Marekani , sisi kama taifa mnaturudishia mwili Kuzika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😢😢😢😢😢Watu potential wa taifa wanaenda kufanya KAZI Marekani , sisi kama taifa mnaturudishia mwili Kuzika
Msiba upo chanika mwisho,sehemu inaitwa mndendeule jirani na shule ya chekechea nyumba ina geti jeusiKweli kabisa
Ila jamaa class yao walikuwa ni watundu na wana umoja utasema ni ndugu sipati picha huu msiba karibia wote watakuwa kimara labda kama mzee mgowano atakuwa amesha hama huko
Acheni kujifariji, wewe utamlinganisha boss wa CRDB na machinga wa pale Kariakoo eti kisa tu huyu kaajiriwa mwingine kajiajiri, huwa mnatafuta faraja kwenye mambo ya kipuuzi sanaKuajiriwa ni kujiajiriwa tu. Iwe Google au TAMISEMI. Unamtumikia bwana wako. RIP.
Sasa umeandika nini hapo?😡He most probably was inebriated
Nyie ndiyo mna addiction ya watu kama wakina baba level doto magari
Meijaku stv nyrr ndy vichwa mnawaona
Ova
Hata mimi nawaza kaangukaje sipati jibu na hata kama kaanguka si mnaona mwenzenu kaanguka mumuokoe hapo hapo hqpa kuna picha la kikatili kwa hao wenzakeHakuna faulo kweli hapo....?
Hizi akili za kushikiwa hizi, sasa mbona yule aliedondoka kwenye boti ya Unguja wabobeaji hawakumukoa??? Unayajua wewe maji wewe??Hio ni ajali kama ajali nyingine acheni mawazo ya kichawi.Hata mimi nawaza kaangukaje sipati jibu na hata kama kaanguka si mnaona mwenzenu kaanguka mumuokoe hapo hapo hqpa kuna picha la kikatili kwa hao wenzake
Hahaha. Ila inahuzunisha sana vituko vya hawa watu wazima wanavyofanya tena hadharani wakijulikana. Ni tabia inayokera.Hao wako tYR hata knyanduliwa
Alafu huyo jamaa anayerusha pesa si ajabu mtoto wake hana ada ama anahitaji hela ya matumizi lakini hampi anamwambia hana
Ila huku anataka aonekana tajiri
Ova
watamzika dar au kwao tabora?Mtu kustarehe kumbe ni dhambi duh
Sipo karibu na hiyo familia ila nasikia msiba upo chanikawatamzika dar au kwao tabora?
Asante mkuu kawaida tu