Ingekuwa wote wanafanyiwa hoia YAKO Ingekuwa na maana.Kuna majitu uwa hasikiii. Yakisikia vitendo wanavyofanyiwa raia wa kigeni especially waafrica huko Mashariki ya kati ya nasema ni propaganda za magharibi.
Hawasikiii na kila siku migration pale wanaenda omba Passport, mdada ametoka bush ameshakalilishwa majibu akiulizwa tofaut na hayo anajiuma.Jamani mabinti zetuu msiende uarabuni , haojama basii tuu
Lakini karne hii hatuna rekodi za wa ulaya wakiwanyanyasa wafanyakazi wa ndani.No wonder waarabu wanapendelea kupata hifadhi ulaya kwa hao mnaowashutumu mashoga.Kwa nini wasipate asylum nchi za kiarabu?Ina maana waarabu wanaokimbilia europe wanaendaga kufukuliwa mtaro?
Kwani hapa si waarabu angalia jamaa kaingiza ishu gani? Ndo maana nikapost hyoLakini karne hii hatuna rekodi za wa ulaya wakiwanyanyasa wafanyakazi wa ndani.No wonder waarabu wanapendelea kupata hifadhi ulaya kwa hao mnaowashutumu mashoga.Kwa nini wasipate asylum nchi za kiarabu?Ina maana waarabu wanaokimbilia europe wanaendaga kufukuliwa mtaro?
Ndo maana pua zimewatanuka....kumbe kila pahala
waweza kuta unajibishana na mtu kama huyo mshitakiwa.Kuna majitu uwa hasikiii. Yakisikia vitendo wanavyofanyiwa raia wa kigeni especially waafrica huko Mashariki ya kati ya nasema ni propaganda za magharibi.