Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💯Halafu pesa zote wanamalizia chini,chek wenzetu warundi, nigeria,wasomali,waethiopia,wakenya wao ufanya maendeleo
Huyo dogo hajameza madawa kama polisi walivyoripoti isipokuwa,, waliingia kusachi kwenye mjengo wa huyo dogo wakamkuta na hela ndipo walipombana na kumuambia aonyeshe madawa yako wapi, walimvesha mfuko na kumuwekea maji kisha kumpiga sana mpaka kupelekea kifo chake na baada ya kujua kuwa wameua ndipo walipopanga njama ya kuwa eti kameza madawa,, hayo madawa unamezaje mda huo huo ufe apo apo,, kifupi polisi wameua na ndio sababu watu wamepatwa hasira na kuanzisha vurugu,, huyo dogo namfahamu vizuri tu,, na kuna jamaa mwingine aliyekuwa nae siku ya tukio nae nimempokea mwenyewe hapa dizonga, msipende kukandia na kukashifu vitu msivyovijua
Huyo namjua wala hafanyi mishe za madawa, ameuawa na Polisi wa SA tu, jamaa kapuliziwa Spray zile za pilipili na kufunikwa mfuko ndio ikawa mwisho wake.
Watz wamekiwasha sana hapo.
Huyo dogo alikuwa ana saloon yake,, kifupi ni hivi hapa south Africa hususan joberg kuna wazee wengi wa mchongo,, yani hili jina la kitu kama magumashi kuitwa cha mchongo haya mambo wameanzisha wabongo wa huku mjue,, so hao wazee wa mchongo wakijua una kidosho wanaweza wakakutengenezea tambara ili wakupukutishe kidosho chako,, kisingizio madawa kwa kuwa wamekariiri wageni wanauza madawa wakati hata wazawa wengi tu wanauza,, dogo amedhulumiwa uhai wake ndo maana watu wameandamana na kufanya fujo.Sawa alikua anajishughulisha na nini? Ili tuanzie hapo haiwezi kuja tu asachiwe, auliwe kama hakuna taarifa yoyote yaani wazee waje tu?
Kuna watu humu hawajui chochote wanaongea shiti tu,,,Huyo namjua wala hafanyi mishe za madawa, ameuawa na Polisi wa SA tu, jamaa kapuliziwa Spray zile za pilipili na kufunikwa mfuko ndio ikawa mwisho wake.
Watz wamekiwasha sana hapo.
Oya hapa Habar imepindishwa jamaa alikuwa disco karudi kama saa Tisa usiku police wakawa wanamsubiri nje wakachukua pesa zakena walimpiga mpaka akapiga kelele wananiua na wakamuua kweli,hayo mengine wametunga polisi walitaka pesa nyingi na jamaa haikuwa nazoMtanzania mmoja amefariki akiwa anapelekwa Kituo cha Police kwenye kitongoji moja wapo jijini Johanesburg. Kulitokea majibishano na Kurushiana Mawe kati ya Police na Watanzania kwenye kitongoji hicho. Kile walichodai watanzania kuwa Police wamemuua na kuchukua pesa zake. Kuna video ya maojiano kati ya wanahabari na watanzania hao ntaipost bdae kidogo.
View attachment 2484361View attachment 2484362
View attachment 2484363
View attachment 2484364View attachment 2484373
Huyo dogo alikuwa ana saloon yake,, kifupi ni hivi hapa south Africa hususan joberg kuna wazee wengi wa mchongo,, yani hili jina la kitu kama magumashi kuitwa cha mchongo haya mambo wameanzisha wabongo wa huku mjue,, so hao wazee wa mchongo wakijua una kidosho wanaweza wakakutengenezea tambara ili wakupukutishe kidosho chako,, kisingizio madawa kwa kuwa wamekariiri wageni wanauza madawa wakati hata wazawa wengi tu wanauza,, dogo amedhulumiwa uhai wake ndo maana watu wameandamana na kufanya fujo.
Ajira hakuna waache wapige kaziHizo ndo dili za watanzania af wajifanya wajanja sana, kuliko mataifa mengine
Jf wajuaji wengiHuyo dogo hajameza madawa kama polisi walivyoripoti isipokuwa,, waliingia kusachi kwenye mjengo wa huyo dogo wakamkuta na hela ndipo walipombana na kumuambia aonyeshe madawa yako wapi, walimvesha mfuko na kumuwekea maji kisha kumpiga sana mpaka kupelekea kifo chake na baada ya kujua kuwa wameua ndipo walipopanga njama ya kuwa eti kameza madawa,, hayo madawa unamezaje mda huo huo ufe apo apo,, kifupi polisi wameua na ndio sababu watu wamepatwa hasira na kuanzisha vurugu,, huyo dogo namfahamu vizuri tu,, na kuna jamaa mwingine aliyekuwa nae siku ya tukio nae nimempokea mwenyewe hapa dizonga, msipende kukandia na kukashifu vitu msivyovijua
Acha ufala,Capital ya kuanzia ni wewe mwenyewe, hamna sehemu yakukupa mtaji bila wewe kuweka juhudi na uaminifu, watanzania vijana wengi wezi, hawana uaminifu na hawana maono.
Why Police walitaka hela Nyingi? Why wamsubirie nje ya Nyumba yake? Alikuwa anajishughulisha na Kazi gani South Africa?Kwa nini yeye na sio Mwingine?Oya hapa Habar imepindishwa jamaa alikuwa disco karudi kama saa Tisa usiku police wakawa wanamsubiri nje wakachukua pesa zakena walimpiga mpaka akapiga kelele wananiua na wakamuua kweli,hayo mengine wametunga polisi walitaka pesa nyingi na jamaa haikuwa nazo
Wewe usiwe kama malaya wa kimboka! Assume angekuwa ndugu yako, ungeandika ulichoandika?. Kaa hapo kwenu subiri chakula mchana huu.Amevuna alichopanda.
Wanajifanyaga kupanda ndge kila siku kwenda dubaiMaisha yake vip? Ana familia??