Shufaa likawa stafeliMdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni na kuongeza makalio na kukata tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana lihidimiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.
Apumzike mahali alipojichagulia,Mdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni na kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.
Wajinga hawaHalafu cha ajabu nimeona wanaomba mchango wa $4,500 za kuweza kurudisha mwili TZ.
Yani mtu aende na kiranga chake mwenyewe cha kutaka kumkosoa Mungu halafu ndugu na jamaa waje kuomba msaada wa kurudisha mwili wake.
Ikiwa alikuwa na pesa za kwenda kuweka matako basi lazima itakuwa ana pesa za kutosha kurudisha masalia ya matako yake.
Na sio wa kuonewa huruma kabisa.Wajinga hawa
Ova
NIPO hapa kukutuliza kimwana hapo hapo ulipopigwa PasiWanaume wanapenda sana wanawake wenye matako that's why sisi tuliopigwa pasi tunakosa utulivu 😭
Nifa anakusanya rambi rambiAlazwe pema peponi kamanda
Mkuu, kwenye mambo ya kipuuzi ebu usilitaje bure jina la Mungu wetuMdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.View attachment 2980499View attachment 2980499
Nyongo ilikua kubwa sana?Hiki kifo hakina tofauti na ndugu yangu alienda India kufanyiwa upasuaji wa kupunguza nyongo.
Inauma sana!
Hapo classmate alizingua kinoma mazeeHiki kifo hakina tofauti na ndugu yangu alienda India kufanyiwa upasuaji wa kupunguza nyongo.
Inauma sana!