stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
MloganzilaTumesikia huduma zimesogezwa hapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MloganzilaTumesikia huduma zimesogezwa hapa!
Kilanga komo!!!!Mdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.View attachment 2980499View attachment 2980499
Mboni wengine hawafi huyu imekuaje au kaenda kwa bei rahisi?Hapo classmate alizingua kinoma mazee
Ninadhani. Wakashauri apunguze.Nyongo ilikua kubwa sana?
HahahahahaApumzike mahali alipojichagulia,
Hii YOTE ili kuwafurahisha wanaume au Kuna kingine??
Wanaume wanapenda sana wanawake wenye matako that's why sisi tuliopigwa pasi tunakosa utulivu 😭
Kwa hio badala wapunguze nyongo wakampunguza yeyeNinadhani. Wakashauri apunguze.
Mtu alikuwa mzima kabisa
Ndiyo hivyo alitapika sana nyongo hadi kawekwa ICU hakukaa siku 2Kwa hio badala wapunguze nyongo wakampunguza yeye
kifo cha kujitakia, alale anapodtahiliMdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.View attachment 2980499View attachment 2980499
Aibu kubwa sanaHalafu cha ajabu nimeona wanaomba mchango wa $4,500 za kuweza kurudisha mwili TZ.
Yani mtu aende na kiranga chake mwenyewe cha kutaka kumkosoa Mungu halafu ndugu na jamaa waje kuomba msaada wa kurudisha mwili wake.
Ikiwa alikuwa na pesa za kwenda kuweka matako basi lazima itakuwa ana pesa za kutosha kurudisha masalia ya matako yake.
Nailaumu sana serikali, wanaendekeza upuuzi, hivi vitu ni vya kukemea ika wao wanavizogeza karibu na wananchiTumesikia huduma zimesogezwa hapa!
Kwani Uturuki hakunaga makaburi?Halafu cha ajabu nimeona wanaomba mchango wa $4,500 za kuweza kurudisha mwili TZ.
Yani mtu aende na kiranga chake mwenyewe cha kutaka kumkosoa Mungu halafu ndugu na jamaa waje kuomba msaada wa kurudisha mwili wake.
Ikiwa alikuwa na pesa za kwenda kuweka matako basi lazima itakuwa ana pesa za kutosha kurudisha masalia ya matako yake.
SahihishaBwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe.