kimbomba25
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 1,160
- 2,117
Wewe umeumia mkuu? 😁Huu uzi watu watacomment siyo kwa sababu ya kuumizwa na msiba ila kwa sababu ya “operation ya makalio”.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeumia mkuu? 😁Huu uzi watu watacomment siyo kwa sababu ya kuumizwa na msiba ila kwa sababu ya “operation ya makalio”.
halafu mbaya zaidi ukute huyo huyo mwanaume angeishia kumuacha kwa demu aliepigwa pasi.Apumzike mahali alipojichagulia,
Hii YOTE ili kuwafurahisha wanaume au Kuna kingine??
Wanaume wanapenda sana wanawake wenye matako that's why sisi tuliopigwa pasi tunakosa utulivu 😭
Jina la mungu wenu limetajwa wapi?Mkuu, kwenye mambo ya kipuuzi ebu usilitaje bure jina la Mungu wetu
Utazimia kwa utamu 😁Hebu nione
Hata mimi nimejikuta nabubujikwa na machozi kama wewe antiel 😂😂😂😂😂Sisi mashangazi wenye makalio makubwa kwa kweRi tunaringa mjini hapa. Mungu ametubariki zawadi ya KUDUMU.
Kumbe kuna watu wanayasaka makalio hadi wanafarikii????? Jamaniiiii nimebubujikwa na machozi!
Angenifwata nimmegee kipande cha kalio ajibandikie na superglue na yeye angalau awe mtu katika watu!
Mjini makalio. Mtakufa sana Alaaah 🥱🥱🥱
Cc Lamomy Poor Brain mshamba_hachekwi fundi bishoo
Sio wote lakini...Apumzike mahali alipojichagulia,
Hii YOTE ili kuwafurahisha wanaume au Kuna kingine??
Wanaume wanapenda sana wanawake wenye matako that's why sisi tuliopigwa pasi tunakosa utulivu 😭
UongoMdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.View attachment 2980499View attachment 2980499
Nn sasamweeeee mweeeeee mweeeeee
Nao wapo kwenye biashara baada ya kuona watu wapo kasi kwenda ughaibuni!Nailaumu sana serikali, wanaendekeza upuuzi, hivi vitu ni vya kukemea ika wao wanavizogeza karibu na wananchi
Ila anazingua - Hataki kutoa bajeti iwe ndo mwongozo. anadhani watu watachangaje? Uzembe huo ndo huo huo uliompeleka Uturuki.Wanaume tutamchangia hakika, alikuwa katika kujitetea na kutuletea mema..... wanapitia wakati mgumu sana hawa wasio na shepu.
Acha zako wewe 😂😂😂Mliopigwa pasi kama we we ndo ugonjwa wetu wengine, Mimi mwanamke wenye wezere hanivutii kabisa.
Kwani marehemu ndiye anapokea mchango?Ila anazingua - Hataki kutoa bajeti iwe ndo mwongozo. anadhani watu watachangaje? Uzembe huo ndo huo huo uliompeleka Uturuki.
Safi geniusWataalamu hebu watoe elimu ili kina Dada wasi risk maisha yao,
Kipi kinafanya wafe kwenye kuongeza makalio? Hua ni operation wanayakata na kisu? Je damu nyingi huvuja? Maswali ni mengi ila kinachopelekea hasa kifo kwenye hiyo operation hua ni nini?
Mwanamke wa mithali 31. Mwanamke asipojitambua katika dunia hii ni kazi bure. Huoni baby mama wa Diamond (Tanasha) alivyojiharibu mdomo. Kisa?Apumzike mahali alipojichagulia,
Hii YOTE ili kuwafurahisha wanaume au Kuna kingine??
Wanaume wanapenda sana wanawake wenye matako that's why sisi tuliopigwa pasi tunakosa utulivu 😭
muuzaji wa nini? 😂😂😂Yaani kwa kifupi huyo ni muuzaji wa K na kyundu.
Inawezekanaje utumie mamilioni kadhaa kuweka tyakko kubwa mwisho wa siku likusaidie kitu gani zaidi ya kuuza kyundu?.?
Kuna watu vichwa vyao vina matope.
nimecheka sina mbavu jinsi mleta habari alivyohitimisha yale maneno maarufu kunapotokea msiba yameandikwa bila mukhtadha wa tukio lenyewe japo ni msiba. Inna lillahi waina rajiumMdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.View attachment 2980499View attachment 2980499