Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,717
- 3,895
Nilisikiaga kuna ya Mchina na hayahitaji upasuaji. Yaliishia wapi?Mdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.View attachment 2980499View attachment 2980499


