Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Yaani kwa kifupi huyo ni muuzaji wa K na kyundu.
Inawezekanaje utumie mamilioni kadhaa kuweka tyakko kubwa mwisho wa siku likusaidie kitu gani zaidi ya kuuza kyundu?.?
Kuna watu vichwa vyao vina matope.
Broo; Usiwapuuze. Ni wajasiriamali hao ujue.
 
Mdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.View attachment 2980499View attachment 2980499
Siangeenda Mloganzila-Hospital?
 
Apumzike mahali alipojichagulia,

Hii YOTE ili kuwafurahisha wanaume au Kuna kingine??

Wanaume wanapenda sana wanawake wenye matako that's why sisi tuliopigwa pasi tunakosa utulivu [emoji24]
Hakuna mwanaume anataka matako feki. Labda useme hiyo yote ni katika kutaka competition na watoto wa kike wenzake. Wanaume hatujawahi wala hatutawahi kushauri wanawake wakawekwe makitu feki.
 
Yaani npo kimbau mbau na sura ngum ila sjawah fikiria marekebsho ata theluthi nusu
😂😂😂😂😂 Ngoja uzipate mbona tutajuta
Screenshot_20231103-144130_1.jpg
 
Yaani kwa kifupi huyo ni muuzaji wa K na kyundu.
Inawezekanaje utumie mamilioni kadhaa kuweka tyakko kubwa mwisho wa siku likusaidie kitu gani zaidi ya kuuza kyundu?.?
Kuna watu vichwa vyao vina matope.
Tuko pamoja acha afe.


Nikiona binti yuko tayari kufanya kila kitu kwa ajili ya hela za kuvimba mjini natamani nimchape viboko
 
Hakuna mwanaume anataka matako feki. Labda useme hiyo yote ni katika kutaka competition na watoto wa kike wenzake. Wanaume haujawahi wala hatutawahi kushauri wanawake wakawekwe makitu feki.
Kwanza hata halinogi na halina msisimko akiwa naked
 
Back
Top Bottom