Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Wataalamu hebu watoe elimu ili kina Dada wasi risk maisha yao,

Kipi kinafanya wafe kwenye kuongeza makalio? Hua ni operation wanayakata na kisu? Je damu nyingi huvuja? Maswali ni mengi ila kinachopelekea hasa kifo kwenye hiyo operation hua ni nini?
Unakuta baada ya upasuaji alipata infection sasa kupambana na hiyo infection vita yake inaweza kumletea kifo.
 
Hapo kwenye bwana ametoa na kutwaa nashauri ungesema "Bwana ametoa uturuki wametwaa" maana sidhani kama MUNGU alimtuma aende uturuki.
Acha kujihesabia haki,ninyi watu mliopandikizwa hizi dini za wazungu na waarabu mnapenda sana kujiona ni wema na huyo mungu wenu kumbe ni ubatili tu,mungu wa biblia na Qur'an ni tafauti sana na Mungu halisi,endelea kujilisha upepo
 
au labda Pressure ilipanda au kushuka ghafla
Fafanua ishu ya presha hapo
Screenshot_20231103-144130_1.jpg
 
Halafu cha ajabu nimeona wanaomba mchango wa $4,500 za kuweza kurudisha mwili TZ.

Yani mtu aende na kiranga chake mwenyewe cha kutaka kumkosoa Mungu halafu ndugu na jamaa waje kuomba msaada wa kurudisha mwili wake.

Ikiwa alikuwa na pesa za kwenda kuweka matako basi lazima itakuwa ana pesa za kutosha kurudisha masalia ya matako yake.
Bongo hiyo nayo ni fursa, mama kafungua nchi.
 
Unakuta baada ya upasuaji alipata infection sasa kupambana na hiyo infection vita yake inaweza kumletea kifo.
Venous thromboembolism ndiyo sababu kubwa ya Vito vya namna hii iliyoripotiwa, maana yake ni chembe chembe ndogo za mafuta au damu iliganda(clots) hupenyeza kwenye mishipa ya damu na kufanikiwa kuzunguza na damu, hatimaye hufika kuziba mishipa muhimu ya kwenye moyo au mapafu na kuzuia damu isiende, kukosekana kwa hewa safi,chakula na vingine muhimu husababisha kifo cha seli za maeneo hayo hatimaye kiungo kushindwa kufanya kazi hatimaye hugharimu maisha(kifo).
 
Back
Top Bottom