Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Fafanua ishu ya presha hapo View attachment 2980548
Pressure au Shinikizo la damu la juu (HBP) au la chini (LBP) kuna visababishi vingi; lakini pia laweza kutokea ghafla kutokana na mshtuko aupatao mtu kutokana na Tukio lililompata. Unaonaje kama huyu muathirika alishtushwa na matokeo (-ve) ya kilichofanyika au alipozinduka baada ya upasuaji kukamilika (dawa nusukaputi huweza kusababisha mtu kuwa na mawenge anapozinduka) Ila samahani mm sio daktari.
 
Pressure au Shinikizo la damu la juu (HBP) au la chini (LBP) kuna visababishi vingi; lakini pia laweza kutokea ghafla kutokana na mshtuko aupatao mtu kutokana na Tukio lililompata. Unaonaje kama huyu muathirika alishtushwa na matokeo (-ve) ya kilichofanyika au alipozinduka baada ya upasuaji kukamilika (dawa nusukaputi huweza kusababisha mtu kuwa na mawenge anapozinduka) Ila samahani mm sio daktari.
Nimeelewa kiasi mkuu shukrani
🙌🙌😁😁🙏🙏🙏🙏
 
Mdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.View attachment 2980499View attachment 2980499
Wana pesa za kuchezea nahisi sababu kubwa ni sisi wanaume tunahonga sana.
 
Mdada mzuri sasa tako la nini,turidhike na tulichopewa,si wanaume wote wanataka haga,halafu wanaume ni wale tu,wewe na take lako kubwa atakudump akatafute slay Queen portable aoe.

Kuwa na matako makubwa ya kutengeneza au kuvaa visponji ni ushamba wa hali ya juu.

Unamkuta mdada mikucha mirefuu kabandika,mikorogo hafai,kope kaweka vile ndefuu,pyuuuuuks.

Binti jipende,urembo feki feki naah.
Kuwa natural,simple make up,enough.
 
Acha kujihesabia haki,ninyi watu mliopandikizwa hizi dini za wazungu na waarabu mnapenda sana kujiona ni wema na huyo mungu wenu kumbe ni ubatili tu,mungu wa biblia na Qur'an ni tafauti sana na Mungu halisi,endelea kujilisha upepo
Kwahiyo Mungu halisi ndiye alimtuma akaongeze matako
 
Sisi mashangazi wenye makalio makubwa kwa kweRi tunaringa mjini hapa. Mungu ametubariki zawadi ya KUDUMU.

Kumbe kuna watu wanayasaka makalio hadi wanafarikii????? Jamaniiiii nimebubujikwa na machozi!

Angenifwata nimmegee kipande cha kalio ajibandikie na superglue na yeye angalau awe mtu katika watu!

Mjini makalio. Mtakufa sana Alaaah 🥱🥱🥱

Cc Lamomy Poor Brain mshamba_hachekwi fundi bishoo
tena hulo kalio kwa kulichapa makofi aloooh😂😂
 
Nipe handle yake nikaone mambo yalivyo huko kijijini Insta
IMG_7769.png
 

Attachments

  • IMG_7769.png
    IMG_7769.png
    3.8 MB · Views: 3
Back
Top Bottom