Kitonsa itakuwa ulikuwa unamfahamu?Mbona hizo picha ni mdoli?
Ukoo wa kina Tembo naufahamu, Hakuna mdoli.
Kwao Dundani, njia ya kwenda kwetu Mkuranga. Kwa Dar walikua mtaa wa Udoe, Kariakoo, zamani sana.
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi rajiun.
Inaniuma sana mkuuHaaaahaaaa ila we jamaaa kila marehemu ni classmate wako. Hata awe na mwezi mmoja ni classmate wako.
Labda ni maswala ya kidiplomasia Mkuu mwenzetu.Nailaumu sana serikali, wanaendekeza upuuzi, hivi vitu ni vya kukemea ika wao wanavizogeza karibu na wananchi
Tajiri naona haya mambo ya shape shepu umeyasomea vyema sanaMdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.View attachment 2980499View attachment 2980499
Alitaka nyongo iwe ndogo ili awe na kinyongo siyo?Hiki kifo hakina tofauti na ndugu yangu alienda India kufanyiwa upasuaji wa kupunguza nyongo.
Inauma sana!
Kama hauna pesa ya kuchanga kaa kimyaHalafu cha ajabu nimeona wanaomba mchango wa $4,500 za kuweza kurudisha mwili TZ.
Yani mtu aende na kiranga chake mwenyewe cha kutaka kumkosoa Mungu halafu ndugu na jamaa waje kuomba msaada wa kurudisha mwili wake.
Ikiwa alikuwa na pesa za kwenda kuweka matako basi lazima itakuwa ana pesa za kutosha kurudisha masalia ya hayo matako.
Ndio ukakuze kalio ili uongeze idadi ya masponsorMasponsor wanatuchanganya wadada
Tena swala 5Utajasikia marehemu alimcha Mungu sana.
🖕🖕🖕Kaa hapa uzunguke zunguke.Kama hauna pesa ya kuchanga kaa kimya
Hiyo ni biashara ya watu ukumbuke. Mustakabali wa ustawi ktk maisha yao unategemea kwa kiasi fulani shughuli hiyo.Kiwingu kwa namna gani tena mzee? Yaani mfano wewe umegundua watu wanakula chakula chenye sumu pandikizi utawatazama tu wakila au utawatahadharisha?
1-1 =1 (Naweza kuthibitisha hilo jawabu.)
Mboni wengine hawafi huyu imekuaje au kaenda kwa bei rahisi?
Sijaelewa chief, diplomasia na kuongeza makalio vinahusiana nini?Labda ni maswala ya kidiplomasia Mkuu mwenzetu.
Mvujo wa damu nyingi.....alisikika mfagizi mmoja wa mwananyamala hospitaliWataalamu hebu watoe elimu ili kina Dada wasi risk maisha yao,
Kipi kinafanya wafe kwenye kuongeza makalio? Hua ni operation wanayakata na kisu? Je damu nyingi huvuja? Maswali ni mengi ila kinachopelekea hasa kifo kwenye hiyo operation hua ni nini?
Ndio maisha aliyoyachagua kama una mchango mpe. UsihukumuHuyu angefanikiwa akarudi salama brake ya kwanza ilikua ni kusimama mbele ya camera na kusema mahari yake bila million 500 haolewi.