Mtanzania afukuzwa China kwa kushindwa kuheshimu taratibu za kujinga na ugonjwa wa covid-19

Kwa hiyo atatafutiwa usafiri maalum kumrudisha Tz au ni mpaka janga liishe ndio atarudishwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
safi kabisa..pumbavu...ujeuri aje afanye huku kwetu ambapo mambo shwari business as usual , na sio nchi strict kama china linapokuja suala la its people's health in line

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ubishi + ujuaji wakatu upo ugenini vya nini?
 
Hao wachina ni wastaarabu sana angekuwa North Korea tayari ndugu zake wangekuwa wanaanua matanga.
Analeta uchoko kwenye nchi za watu.?
Kule Philippines raising ameamuru polisi na jeshi kumtwanga risasi raia yeyote anayekaidi amri ya 'lockdown'. Dah! Sijasikia wale watetezi wa haki za binadamu wakitoa neno, na sijui wamevurugwa?
 
kama serikali imepata taarifa zake inabidi akifika tu airport asipewe hata ruhusa kuongea ni karantini tena yenye ulinzi wa police
 
amelikoroga

na akitua tu airport bongo ni direct kwenye quarantine kwa lazima...tena kwa garama zake binafsi.

Mkataa Pema Pabaya Panamwita





Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuangalii yeye ni nani. Kama wasemavyo wenzetu "hakuna kwa nini wala kya nani", huyu jamaa ni moja kwa moja karantini ya siku 14 na akitoka huko ni safari ya kurudi kijijini kwao.
 
Sema ukwel pia baadh ya immigration officer huwa wanaboa sana hasa wanapokuona ngoz nyeus au unatokea nchi fulan maskin..

Tunaosafir safiri tunaelewa haya mambo,
ukikutwa una hasira za karibu unaweza hata ukaachia haja ndogo ofisi zao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…