Mtanzania afukuzwa China kwa kushindwa kuheshimu taratibu za kujinga na ugonjwa wa covid-19

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…, kwasasa ujeuri umekuisha?
Sio ukichaa,sie wabongo rahisi Sana kulewa madaraka,
Nakumbuka Kuna kipindi nilikuaga katibu tarafa,,nilikuwa nikijiona Mimi ni kila kitu,dharau,ngebe etc
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…, kwasasa ujeuri umekuisha?
Saa hizi nimenyooka haswa,,nimejua maana ya msemo,"Nothing is Permanent".
Kama George bush aliewahi kuwa raia namba moja wa dunia,leo ukienda kwake Ranch crowford,anaboeka Hadi anakamata fagio kufagia samadi uwanjani,Mimi ex katibu tarafa nikiwa watchman tabu gani?
 
Akija kama atakuwa ni wa kaki atasemwa sana na gavร na bashite ila kama ni wa kijani hamna noma kabisa
 
Huyo akitua tu kwa lazima apelekwe quarantine kwenye ile hotel ya gharama kubwa! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

แดฎแต‰สทแตƒสณแต‰ แต’แถ  แต—สฐแต‰ แถœแต’แต›โฑแตˆ โป ยนโน [emoji377]
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…, hongera kwa kulitambua hilo.
 
Kuna mwengine nae kakimbia karantini kakimbilia iringa, sasa huyu aliyekimbilia iringa inabidi akae karantini siku 14 na akionekana hana maambukizi apelekwe selo wiki mbili pambaf zake
 
Nini kilitokea Mkuu..ulifukuzwa ukatibu tarafa au!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikua anaji mwambafai kwenye nchi za watu... Wanakupoteza mazima...



CC: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ