Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
😅😅😅, kwasasa ujeuri umekuisha?
Sio ukichaa,sie wabongo rahisi Sana kulewa madaraka,
Nakumbuka Kuna kipindi nilikuaga katibu tarafa,,nilikuwa nikijiona Mimi ni kila kitu,dharau,ngebe etc