Mtanzania afukuzwa China kwa kushindwa kuheshimu taratibu za kujinga na ugonjwa wa covid-19

Mtanzania afukuzwa China kwa kushindwa kuheshimu taratibu za kujinga na ugonjwa wa covid-19

Basi tutapata kazi kubwa ya kupambana na matatizo mawili, covid-19 na stupidity
Wenzetu wako makini sana. Sisi tulikuwa tunawaacha wachian wanaingia holela Tanzania hata baada ya nchi nyingine kuwapiga marufuku
 
Hao wachina ni wastaarabu sana angekuwa North Korea tayari ndugu zake wangekuwa wanaanua matanga.
Analeta uchoko kwenye nchi za watu.?
 
Chadema wanatuharibia Nchi
Kila ukilala unawaza chadema tu maana bila chadema huwezi kwenda chooni.kwani Pole pole amerudisha ule mpango/utaratibu wa kuwalipwa buku 7..naona umerudi kwa kasi sana hapa jukwaani.

LB7000 f.c
 
Naomba nisaidie jina lake mkuu, ikiwezekana hata picha yake
Maelezo ya mmoja wetu kuhusu hilo yako hivi:-

“Naomba kushare na ninyi jambo moja linasikitisha kidogo. Jana kwenye mitandao ya kijamii hapa China kumeibuka habari ya kuchafua jina letu Tanzania. Kuna mtanzania mwenzetu ameripotiwa kufanya mambo ambayo ni kinyume kabisa na maelekezo tunayopewa na Balozi wetu ya kutii maagizo ya mamlaka za hapa, na kufuata sheria. Inatajwa kuwa mtanzania mkazi wa Beijing anayefanya kazi kwa miaka mingi hapa China.

Huyu jamaa anatajwa kuwa alikuwa anaenda Tanzania lakini safari haikuendelea kwa kuwa Dubai hakuna ndege ya kwenda Tanzania akalazimika kurudi Beijing, lakini baada ya kurudi Beijing alikataa kuvaa mask (huku china kuvaa mask kwa mtu yeyote ni lazima), alitoa lugha ya kifedhuli kwa mamlaka husika, na baada ya kuambiwa awe kwenye karantini aliikuka agizo na alivuinja camera ya usalama kwenye eneo analokaa na kutoka nje”

Nyongeza ya taarifa.

“Order ya deportation mtanzania mwenzetu niliyewaambia asubuhi imetolewa”
View attachment 1406758View attachment 1406763

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi najuwa huo ndiyo Wasifu halisi wa Mtanzania,Yaani hata ukimfungia ndani ya chupa atataka atoe kidole nje.Shwain
 
Back
Top Bottom