Mtanzania akifukuzwa kazi, utamsikia 'Nimeamua kuacha, Nifanye mambo yangu' hasemi kuwa nimetimuliwa

Mtanzania akifukuzwa kazi, utamsikia 'Nimeamua kuacha, Nifanye mambo yangu' hasemi kuwa nimetimuliwa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Ahahahaha,

Naanza kwa kucheka maana nimekutana na visa vingi vya namna hii.

Kuanzia wale walioondolewa kwa vyeti fake na sababu zingine ilikuwa ukiwapigia simu mtu anakuambia kuwa NIMEAMUA KUACHA NIFANYE MAMBO YANGU. Then siku mbili mbele anakupiga sound umsaidie jambo fulani la kifedha au ajira.

Hebu kuweni wazi kuwa nimetimuliwa au nimenyimwa mkataba mpya sio unaongopa then few minutes later unaomba msaada.
 
Ukitaka kufa na pressure za walimwengu waambie status ya uchumi wako uone, sijui umefukuzwa kazi au umefirisika biashara, yaani unaweza kuomba hata 500 ukose wa kukupa bora upige kimya kimya [emoji1][emoji1]mara nyingi heshima unayopewa inategemeana na wapi ulipo
 
Ahahahaha,

Naanza kwa kucheka maana nimekutana na visa vingi vya namna hii.

Kuanzia wale walioondolewa kwa vyeti fake na sababu zingine ilikuwa ukiwapigia simu mtu anakuambia kuwa NIMEAMUA KUACHA NIFANYE MAMBO YANGU. Then siku mbili mbele anakupiga sound umsaidie jambo fulani la kifedha au ajira.

Hebu kuweni wazi kuwa nimetimuliwa au nimenyimwa mkataba mpya sio unaongopa then few minutes later unaomba msaada.
HATA WEWE UNGESEMA HIVYO HIVYO
 
Back
Top Bottom