TANZIA Mtanzania aliyekuwa anaishi Texas, Marekani afariki kwa ajali ya gari

TANZIA Mtanzania aliyekuwa anaishi Texas, Marekani afariki kwa ajali ya gari

Kwa sentesi hiyo mkuu una maana Ukristo unakuzimisha ukifa ukiwa mbali na kwenu lazima usafirishwe ukazikwe kwenu, kitu ambacho si kweli. Kwa ufupi Ukristo unakupa freedom ya kuzikwa upendavyo iwe ughaibuni au kwenu, uzikwe muda gani baada ya wewe kufa it's up to you ya weza kuwa dakika 10 baada ya kufa au mwaka baada ya kufa. Unaweza kuzikwa kwenye coffin au la. Chaguo ni lako hakuna mambo ya kulazimishana.
Unapenda ligi eehheee?
 
kama alikua anadrive in a wromg way kama tarifa ya habari inavyosema unataka tusemeje, inamaana kama hapo bongo mtu aendeshee kulia badala ya kushoto unatarajia akipata majanga watu wasimshangae? marehemu alijitakia pamoja na kwamma amekaa USA kwa muda .
 
Back
Top Bottom