Wewe jamaa comment yako haifungamani na imani yako juu ya uwepo wa Mungu,au unatutega ili ufike kwa Mungu mwenyewePoleni Sugarland.
May all beings attain enlightenment.
RIP.
Mchango wa kusafirisha maiti kurudi bongo sasa hua ndo kimbembe , unahisi mwandishi alimaanisha nini??Ndio hujaelewa mbuzi wewe, kuna mtu sehemu yoyote umeona kaomba mchango??Watu tupo kwenye majonzi mibongo inaandika upuuzi upuuzi tu humu.
Atazikwa hukuhuku Wala hatachomwaHazikwi atachomwa... Ndo maisha ya majuu 😔
Watanzania wanachangiana vizuri tuMchango wa kusafirisha maiti kurudi bongo sasa hua ndo kimbembe , unahisi mwandishi alimaanisha nini??
Wenye majonzi wako busy wanaomboleza, wewe unakuja kupiga domo hapa.
Kila goti litapigwa😂Wee jamaa kila siku unapinga uwepo wa Mungu na unasema daily mtu akifa hakuna Cha peponi Wala mbinguni.
Sasa unaposema R.i.p (rest in peace) hapo mahala pema ni wapi kama sio mbinguni ama peponi?😂😂😂
Mkuu si ungeweka tu Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake liidimiwe. Ama inallah walahi de rajuuunPoleni Sugarland.
May all beings attain enlightenment.
RIP.
Hiyo ndio jf mkuu usiwe unawaamini wajumbe humu nyuma ya keyboard wapo tofauti kabisaWee jamaa kila siku unapinga uwepo wa Mungu na unasema daily mtu akifa hakuna Cha peponi Wala mbinguni.
Sasa unaposema R.i.p (rest in peace) hapo mahala pema ni wapi kama sio mbinguni ama peponi?😂😂😂
Hapana.We
Wewe jamaa comment yako haifungamani na imani yako juu ya uwepo wa Mungu,au unatutega ili ufike kwa Mungu mwenyewe
Mimi nina matani na wewe mkuu?Mkuu si ungeweka tu Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake liidimiwe. Ama inallah walahi de rajuuun
Wapenda sodaSipendi pombe
AhahahaBasi kaa kwa kutulia
Wewe mbuzi kilaza unatakakusema nini ?Kuna tofauti gani na kazi ya ulinzi. Au kingereza kimekuchanganya. Mlevi alisikika
Nataka kusema ww ni kiaziWewe mbuzi kilaza unatakakusema nini ?
Unapenda ligi eehheee?Kwa sentesi hiyo mkuu una maana Ukristo unakuzimisha ukifa ukiwa mbali na kwenu lazima usafirishwe ukazikwe kwenu, kitu ambacho si kweli. Kwa ufupi Ukristo unakupa freedom ya kuzikwa upendavyo iwe ughaibuni au kwenu, uzikwe muda gani baada ya wewe kufa it's up to you ya weza kuwa dakika 10 baada ya kufa au mwaka baada ya kufa. Unaweza kuzikwa kwenye coffin au la. Chaguo ni lako hakuna mambo ya kulazimishana.
Na hutokaa uelewe kwa chuki zilizoujaza moyo wako mbwa wewe.Mtu umeenda mwenyewe ukifa unataka watu wachange urudishwe! Ama Ni mimi tu ndo sijaelewa??
Kivipi Dr ?Unapenda ligi eehheee?
Nyie ndiyo mnafundisha ujinga huko vyuoni. Kama haujui tofauti ya lecture na lecturer wewe ni kilaza mwandamiziLecture
CHADEMA watakuwa wanahusika!Wakuu tunatangaza msiba wa mtanzania Prosper Prosper ambaye alikuwa anaishi Marekani, amefariki kwa ajali ya gari.
Mtanzania huyu alikuwa anaishi Sugerland - Texas
Taarifa zaidi kukujia.