TANZIA Mtanzania aliyekuwa anaishi Texas, Marekani afariki kwa ajali ya gari

Mchango wa kusafirisha maiti kurudi bongo sasa hua ndo kimbembe , unahisi mwandishi alimaanisha nini??
Wenye majonzi wako busy wanaomboleza, wewe unakuja kupiga domo hapa.
Wee pimbi, hio michango mnachanga nyie huko wala vumbi au huku ?? Uliwahi ona watu wa mamtoni wakalalamikia hio michango?? Na kwanza kuzikwa ni popote , sasa hivi tunafuata mfumo wa kiislam. Kama huna la kuongea funga domo lako.
 
Wee pimbi, hio michango mnachanga nyie huko wala vumbi au huku ?? Uliwahi ona watu wa mamtoni wakalalamikia hio michango?? Na kwanza kuzikwa ni popote , sasa hivi tunafuata mfumo wa kiislam. Kama huna la kuongea funga domo lako.
Ukishaona mnachangishana changishana juwa bado ni walala hoi shehee hamna tofauti na sisi ni kihelehele tu kimewapeleka US.
For God sake hii ni wendawazimu.
Cha kuongezea, mwandishi amesema michango huwa ndo kimbembe
 
Msiwe mnapenda kuongea bila fact. Mtanzania alikuwa ana Drive kwenye lane yake akiwa n Toyota Highlander alikuwa anaendesha upande sahihi, huyo aliemgonga ndio alikuwa ana drive upande sio sahihi
Wrong way
 
Msiwe mnapenda kuongea bila fact. Mtanzania alikuwa ana Drive kwenye lane yake akiwa n Toyota Highlander alikuwa anaendesha upande sahihi, huyo aliemgonga ndio alikuwa ana drive upande sio sahihi
Wrong way
Who wasn’t drunk?

Yaani mtu anaendesha gari wrong way, halafu kwa speed ya kutosha kuua mtu halafu asiwe under the influence of something that causes impairment?

The wrong way driver must have been under the influence!

Hard to believe he wasn’t.
 
nimemjibu huyo kenge hata taarifa ya habari imesema akaanza kushupaza shingo mitanzania mijinga sana, anajariu kumtetea mmasai mwezie aliyejiua kwa mispidi ya ajabu na kutofuata sheria.
 
Mzee,
Napenda kujua vitu hivi kutoka Kwako Kama hauto jali...
Umri wako, elimu, unatumia kilevi chochote ,unajishuhulisha na Nini,wewe ni wangapi kuzaliwa kwenu, makuzi yako 😊, una malezi ya pande MBILI

Nauliza haya sio kwa kebehi nauliza kwa Nia njema ili tupate pa kuanzia..

Shukrani.
 
Hata ardhini ni mahala pema.

Mbinguni(peponi) ni dhana za kufikirika za kujifariji tu.

Kujipa matumaini uchwara.

Yeye anasema hakuna mambo ya pema wala pabaya, sasa anapomuombea dua alale pema anamuomba nani ambaye anawapeleka watu pema na pabaya? Kama vitu vipo kiasili tu kuna haja gani ya kuomba?
 
Upate kuanzia nini?
 
Upate kuanzia nini?
Siitaji ligi mkuu nilipenda kujua vitu nilivyo vitaja hapo juu comment #209
Ukisoma human psychology Kuna kitu kinaitwa """KUVURUGIKIWA MAONO"" tunaweza kujifunza kutoka Kwako na kwa faida ya WENGI humu NDANI.

Kama nimekosea nisamehe sanaa mkuu
All in all,

Peace & Love✌️
 
Maiti zinazikwa ardhini na hilo linaonekana.

Sasa wewe unathibitishaje mtu akifa huenda mbinguni?

Ulishawahi kuishi huko mbinguni au kuona mtu akienda huko mbinguni?

Kwanza unathibitishaje Mbinguni kupo?
Hili sharti la kwamba lazima uishi ndio iwe uthibitisho wa uwepo wa kitu umelipata wapi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…