TANZIA Mtanzania aliyekuwa anaishi Texas, Marekani afariki kwa ajali ya gari

TANZIA Mtanzania aliyekuwa anaishi Texas, Marekani afariki kwa ajali ya gari

Mchango wa kusafirisha maiti kurudi bongo sasa hua ndo kimbembe , unahisi mwandishi alimaanisha nini??
Wenye majonzi wako busy wanaomboleza, wewe unakuja kupiga domo hapa.
Wee pimbi, hio michango mnachanga nyie huko wala vumbi au huku ?? Uliwahi ona watu wa mamtoni wakalalamikia hio michango?? Na kwanza kuzikwa ni popote , sasa hivi tunafuata mfumo wa kiislam. Kama huna la kuongea funga domo lako.
 
Wee pimbi, hio michango mnachanga nyie huko wala vumbi au huku ?? Uliwahi ona watu wa mamtoni wakalalamikia hio michango?? Na kwanza kuzikwa ni popote , sasa hivi tunafuata mfumo wa kiislam. Kama huna la kuongea funga domo lako.
Ukishaona mnachangishana changishana juwa bado ni walala hoi shehee hamna tofauti na sisi ni kihelehele tu kimewapeleka US.
For God sake hii ni wendawazimu.
Cha kuongezea, mwandishi amesema michango huwa ndo kimbembe
 
kama alikua anadrive in a wromg way kama tarifa ya habari inavyosema unataka tusemeje, inamaana kama hapo bongo mtu aendeshee kulia badala ya kushoto unatarajia akipata majanga watu wasimshangae? marehemu alijitakia pamoja na kwamma amekaa USA kwa muda .
Msiwe mnapenda kuongea bila fact. Mtanzania alikuwa ana Drive kwenye lane yake akiwa n Toyota Highlander alikuwa anaendesha upande sahihi, huyo aliemgonga ndio alikuwa ana drive upande sio sahihi
Wrong way
 
Msiwe mnapenda kuongea bila fact. Mtanzania alikuwa ana Drive kwenye lane yake akiwa n Toyota Highlander alikuwa anaendesha upande sahihi, huyo aliemgonga ndio alikuwa ana drive upande sio sahihi
Wrong way
Who wasn’t drunk?

Yaani mtu anaendesha gari wrong way, halafu kwa speed ya kutosha kuua mtu halafu asiwe under the influence of something that causes impairment?

The wrong way driver must have been under the influence!

Hard to believe he wasn’t.
 
Who wasn’t drunk?

Yaani mtu anaendesha gari wrong way, halafu kwa speed ya kutosha kuua mtu halafu asiwe under the influence of something that causes impairment?

The wrong way driver must have been under the influence!

Hard to believe he wasn’t.
 

Attachments

  • Screenshot_20240904-175201_1.jpg
    Screenshot_20240904-175201_1.jpg
    128 KB · Views: 4
Who wasn’t drunk?

Yaani mtu anaendesha gari wrong way, halafu kwa speed ya kutosha kuua mtu halafu asiwe under the influence of something that causes impairment?

The wrong way driver must have been under the influence!

Hard to believe he wasn’t.
nimemjibu huyo kenge hata taarifa ya habari imesema akaanza kushupaza shingo mitanzania mijinga sana, anajariu kumtetea mmasai mwezie aliyejiua kwa mispidi ya ajabu na kutofuata sheria.
 
Sasa ndio uthibitishe uwepo wa huyo Mungu ili uni prove wrong kwamba hayupo.

Maana madai ya uwepo wa huyo Mungu yametoka kwenu ninyi watu wa imani.

Na mimi napingana na hizo imani zenu kwa kusema huyo Mungu mnaye amini na kudai yupo, Hayupo.

Na madai yenu pamoja na imani zenu ni UONGO.

Mimi sihitaji kuamini, Nahitaji kujua kwa uhakika na uthibitisho.

Mimi siamini kwenye kuamini.

Mimi sina imani ya aina yeyote ile.
Mzee,
Napenda kujua vitu hivi kutoka Kwako Kama hauto jali...
Umri wako, elimu, unatumia kilevi chochote ,unajishuhulisha na Nini,wewe ni wangapi kuzaliwa kwenu, makuzi yako 😊, una malezi ya pande MBILI

Nauliza haya sio kwa kebehi nauliza kwa Nia njema ili tupate pa kuanzia..

Shukrani.
 
Hata ardhini ni mahala pema.

Mbinguni(peponi) ni dhana za kufikirika za kujifariji tu.

Kujipa matumaini uchwara.

Yeye anasema hakuna mambo ya pema wala pabaya, sasa anapomuombea dua alale pema anamuomba nani ambaye anawapeleka watu pema na pabaya? Kama vitu vipo kiasili tu kuna haja gani ya kuomba?
 
Mzee,
Napenda kujua vitu hivi kutoka Kwako Kama hauto jali...
Umri wako, elimu, unatumia kilevi chochote ,unajishuhulisha na Nini,wewe ni wangapi kuzaliwa kwenu, makuzi yako 😊, una malezi ya pande MBILI

Nauliza haya sio kwa kebehi nauliza kwa Nia njema ili tupate pa kuanzia..

Shukrani.
Upate kuanzia nini?
 
Upate kuanzia nini?
Siitaji ligi mkuu nilipenda kujua vitu nilivyo vitaja hapo juu comment #209
Ukisoma human psychology Kuna kitu kinaitwa """KUVURUGIKIWA MAONO"" tunaweza kujifunza kutoka Kwako na kwa faida ya WENGI humu NDANI.

Kama nimekosea nisamehe sanaa mkuu
All in all,

Peace & Love✌️
 
Maiti zinazikwa ardhini na hilo linaonekana.

Sasa wewe unathibitishaje mtu akifa huenda mbinguni?

Ulishawahi kuishi huko mbinguni au kuona mtu akienda huko mbinguni?

Kwanza unathibitishaje Mbinguni kupo?
Hili sharti la kwamba lazima uishi ndio iwe uthibitisho wa uwepo wa kitu umelipata wapi ?
 
Back
Top Bottom