Mtanzania aliyeuawa na Hamas alikuwa sehemu ya jeshi la Israel? Serikali itoe tamko Watanzania wangapi wameingizwa kwenye jeshi la Israel

Kama alijiunga na jeshi ilikuwa haki yake kuuawa na angerudi bongo angeshitakiwa acheni kutetea upuuzi, bashe na makamba wanayajua haya sema wanaogopa kusema itwachafua kisiasa na hatujui vijana wetu wangapi wameingizwa idf
 
Mpaka hapa unakiri uzi ulioanzisha hauna maana tena, kilichobaki ni kuhamisha magoli.

Kama vipi nenda kaanzishe uzi mwingine kumhusu huyo wa Urusi vs Ukraine.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ya kusomea kilimo ni kupoteza maboya kwa kuwa hawawezi kuweka kila kitu wazi
 
Picha ya Molel na huyo Mwanajeshi wa mchongo tofauti kabisaaaaaaa. Mtahangaika na propaganda lakini wapi? Islaeli imchukue mtu toka Tanzania awe askari wakati hata hapakuwa na vuguvugu la VITA? Ndani ya muda mfupi tayari aamniniwe kuingia Jeshini? Unawalingasha IDF na Talibani wanaookota vijana waliopigika maisha k upigana Jihadi? Uwongo wa kiwango cha rami
 
Kuna aliethibitisha Identity ya alieonekana akiuwawa mkuu?

Nani anauhakika kuwa ni huyo Joshua?
Kwani yule kijana wa kwanza aliyeuawa nani alikosea kuthibitisha kuutambua ule mwili? uliambiwa hakuwa yeye?

Kina identity na information nyinhi tu zinazotosha kutoa taarifa, kuanzia na chuo alichokuwa akisoma.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Mleta uzi kwa hiyo unafurahia kuuwawa kwa kijana Mollel kisa kauwawa na waislamu wenzako?
 
Nilivyoiona hile Video ya Joshua nimeanza kuwachukia sana hawa ndugu zetu wafia dini
 
Mkuu tuendelee kusubiri kila kitu kitawekwa wazi na muda. Uzuri ulimwengu wa sasa information zipo nje nje ni mtu ku dig tu nakupata ukweli.
 
Weee umeenda kusoma chuo Tel Aviv hamna hata tone la Vita huko Gaza kafata nini na yeye ni mgeni??
 
Mtuma picha umekurupuka kwa macho ya kawaida na kwa msaada wa DNA hao ni watu wawili tofauti
 
Kama alijiunga na jeshi ilikuwa haki yake kuuawa na angerudi bongo angeshitakiwa acheni kutetea upuuzi, bashe na makamba wanayajua haya sema wanaogopa kusema itwachafua kisiasa na hatujui vijana wetu wangapi wameingizwa idf
Pole yako sana wewe mtu, hii inathibitisha ni kiasi gani ulivyo mjinga na zumbukuku. Hivi unafikiri Wanajeshi wa Tanzania waliopo kwenye vitengo mbalimbali vya ulinzi kama vile Usimamizi wa Rada za Kijeshi, Opereta wa Ndege na Meli za Kijeshi pamoja na Waendeshaji au Wahandisi wa Mitambo mbalimbali ya kijeshi kama vile Vifaru, Mafunzo yao ya kijeshi kuhusu vifaa hivyo wote wamesomea hapa Tanzania? Je, hapa Tanzania tuna viwanda vya kutengeneza au kuunda vifaa vya kijeshi kama vile Vifaru, Meli, Ndege au Rada za Kijeshi?
 
Mbona yule story yake ilikuwa wazi.

Mosi alikuwa mwanafunzi na aliyekua mfungwa gerezani kutokana na makosa aliyoyafanya nchi ya ugenini.

Pili baada ya vita kutokea Russia walikua wanatumia mercenaries wa Wagner group ambao yule kijana ndio aliingia nao makubaliano nao.

Tatu yeye aliiingia makubaliano ya kununua uhuru wake(kuachiwa huru) akikubali kuingia vitani licha ya kutokua na mafunzo ya kijeshi.

Katika vita aliuwawa na ilielezwa sababu ya yeye kujikuta uwanja wa vita ni makubaliano ya kimkataba aliyoyafanya yeye kuingia vitani angali sio mwanajeshi pengine leo angekuwepo hai akitumikia kifungo kama asingetaka kununua uhuru wake kwa kuingia mstari wa mbele vitani.

Mtanzania yule hakuwa mwanajeshi bali mwanafunzi aliyeenda kusoma katika harakati za kusoma alivunja sheria za huko na kuwekwa gerezani kamba ambavyo wapo hata watanzania wengine huko gerezani Hongkong tangu 2013.

Ndio maana hata ya kufariki ilijulikana wazi amefia uwanja wa vita kama mpiganaji sio mateka/raia

Huwezi kunishawishi katika nchi iliyo vitani na kijana ni mwanajeshi kama wanavyodai anakatiza mtaani pekeyake akiwa na nguo ya wazi juu, jeans ,baiskeli , hana hata kisu cha kujihami hii inawezekanaje kweli ndugu?
 
kuna watu ni faida kubwa sana kwao mkiendelea kubishana hivi na mkiamini mnavyoamini.
 
swali langu ni rahisi sana, waliouwawa kwenye mashambulizi ya Hamas ndani ya Israel ni wengi sana, kwanini hili la mtanzania ndio linaonekana kubwa na kusambaa mno?
 
Mkuu tuendelee kusubiri kila kitu kitawekwa wazi na muda. Uzuri ulimwengu wa sasa information zipo nje nje ni mtu ku dig tu nakupata ukweli.
Ukweli utajulikana taratibu hata ID itatolewa kabisa..

Yupe wa Ukraine watu walikubali kwamba yeye alijiunga na jeshi kabisa.
 
Acha kudanganya watu.
 
Hata Tarimo watu walijua yupo Urusi kama mwanafunzi lakini alipouawa kule Bakhmut ndipo ukweli ulipodhihiri kuwa alikuwa akipigana upande wa Urusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…