Mtanzania, Alphonce Simbu ashika nafasi ya tatu Marathon IAAF LONDON

Huyu jamaa nimuongeaji sana nikapoteza imani kwake kama wabongo wengine,kumbe na matendo in mzuri zaidi. Viva Gidabudai wale wajinga walituchelewesha sana.
 
Kwa miaka ijayo jamaa atafanya vizuri zaidi ya leo... last year alikuwa wa 5 sasa hivi kawa wa 3 .tutarajie makubwa kutoka kwake. Hongera saana.
Umri sasa utakuta hapo ashagonga nyundo 35

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Umri sasa utakuta hapo ashagonga nyundo 35

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Haha, cha kushangaza eti ni wa 1992. Na mkenya kirui ni wa 1993.

Ila huyu wa kwetu source zingine zinadai ni wa 1985. Sasa sijui which is which?
 
Haha, cha kushangaza eti ni wa 1992. Na mkenya kirui ni wa 1993.

Ila huyu wa kwetu source zingine zinadai ni wa 1985. Sasa sijui which is which?
Hahaha hii ndio Africa mzee kimuonekano tu yule over 30

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Huyu mkenya anaongoza utafikiri anatumia petrol...speed kama ndio ameanza. Anaitwa Kirui
mkuu umenichekesha sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

be___blessed
 
Hongera Simbu.. Ila huyu jamaa naona kuna makosa fulani ya umaliziaji mbio atakuwa anayafanya..

Naamini uwezo wake ni zaidi ya hiyo nafasi ya tatu.. Hata kwenye olympic angeweza kuja na medali.

Afanyie kazi udhaifu wa kumalizia mbio..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…