Ujumbe ulikuwa wa yoyote tu utakaomgusa maana ni wengi wanapitia same situationHapana my dear. Mimi niko vizuri. Ili uhakikishe youtube channel yangu ni
Ndio mimi kwa hio channel. Na tz nimejiwekezea vizuri sana tu. Na nina makaratasi nasafiri vizuri sana tu. Hii mada hainihusu mimi.
Na ndugu wengi huko State ila hAli Yao ngumu no investment at all, wanazidiwa na Hadi ma mangi wenye duka la kawaidaInategemea. Mimi binafsi USA ndio imenitoa. Ila mimi niko tofauti na waTz wengi. Nilikuja kutafta maisha. Naishi kwa kujinyima nk. Wabongo wengi wakija huku ni starehe tu na wanasahau nyumbani. Mwisho wa siku ndio inakuwa hivi. Ni kuwa na malengo. Kazi USA zipo nyingi. Ila Tz kazi za mshahara mzuri ni changamoto kwa wengi. Inategemea tu.
Ni kweli maisha ya diaspora hayana formula ila majority waishi Kwa shida heri tu kurudi nyumbani na huyu mleta mada alienda kwa shule lakini kufika kule akashindwa shule Sasa anaona arudi home wakati angekuwa bongoland angekuwa mbali sana, home is home tu mzee
USA hela ipo.. ila maisha waTz wanaishi kwa kushindana kwa hio wananunua mavitu ya gharama kwa kuonesheana. Mimi wala sina muda na wabongo wa huku. Nilishaona tunaleta ujinga wa tanzania tunakuja nao huku USA.Na ndugu wengi huko State ila hAli Yao ngumu no investment at all, wanazidiwa na Hadi ma mangi wenye duka la kawaida
Aliweza kujenga nyumba nzuri tu. Kwa hio at least nyumba anayo. Ila ipo kijijini na huko hakuna $$.Wakati yupo huko kuna uwekezaji wowote alishawahi kuufatilia bongo hata kama hajafanya?
Hatushindani na mtu watu huwekeza for future useUSA hela ipo.. ila maisha waTz wanaishi kwa kushindana kwa hio wananunua mavitu ya gharama kwa kuonesheana. Mimi wala sina muda na wabongo wa huku. Nilishaona tunaleta ujinga wa tanzania tunaluja nao huku USA.
Sasa hapo atafanyaje ana majanga huyuView attachment 2031167
Hata kusafiri nasafiri vizuri tu. Jamaa yeye hajarudi tz tokea aondoke. Ukiwa hauna makaratasi hata kusafiri hauwezi.
At least anajirudisha mwenyewe. Ukirudishwa kwa mamlaka hauondoki hata na wallet yako. Kwa hio kuna uzuri flani.. ila kweli atapata shida. Alikuwa mtu wa bata ila kabadilika sana. Naamini ataweza tu. Asanteni wote kwa ushauri mzuri 🙏🙏Sasa hapo atafanyaje ana majanga huyu
Ww itakuwe umeishi nje ya Tz. Well said brother. Umechanganua vizuri sana. Need say no more.
Ushauri mzuri sana,23m ni hela nzuri kama ukituliza kichwa...24m ni mtaji mkubwa kama ana akili ya kijasiriamali. Kuhusu atafanya nini inategemea na yeye mwenyewe. Aje atulie asome mchezo atajua aanzie wapi.
Ushauri bora kabisa huu 👏Aweke mkeka odds mbili za uhakika apige hela double!
dah comment za watu zinafurahisha sana...
mkali asiogope mwambie adondoke tu bongoland ila aache unyamwezi huku kuna wenyewe wenye anga zao kama wako Denver au Miami vile.....
24mil asiingie kichwachwa kwenye risk business aanzie kwenye non risk anapiga mdogomdogo anakula anavaa na kusave kidogo huku akiisoma game....24mil kibongo bongo kama mpambanaji ndani mwaka inabadili ubao...
Atataka kuishi sehem gani hapa Tanzania?Jamaa alipatwa na misukosuko ughaibuni na makaratasi yake ya uhamiaji yakaharibika kabisa. Badala ya kuendelea kuishi USA pasipo kujua mbele wala nyuma, ameamua arudi Tanzania akapambane huko. Anafanya kitu kinaitwa voluntary deportation ambayo badala ya kuzolewa na kurudishwa kwa lazima, unasalimu amri mwenyewe na kuamua kujirudisha kwenu kwa gharama zako mwenyewe.
Jamaa amejenga nyumba moja Tanzania kijijini lakini. Hana elimu ya chuo sababu misuko suko aliyokumbana nayo ilifanya ashindwe kusoma chuo USA. Hana ndugu wa kutegemea Tanzania wala USA. Na anarudi na USD 10,000 peke yake.
Naomba tumshauri kwamba aifanyie kazi gani hio hela angalau aingize kitu kidogo au ili maisha yasimpige. Asanteni wana JF.
Haaaaa Haaaaa 😂 nisamehe mpenzi tafadhali, nikeikumbuka sana hiyo post.ww mpenzi ulinisikitisha sana siku moja. Ila mie bado nakupenda. Nikupe info tu za ile biashara yangu ya tours kwa sasa nimepaki tu magari na lodges hazifanyi kazi sana. Nimerudi ughaibuni huku kuna fursa nzuri za pe$$a. Bongo bado assets zangu zipo, na nitazifanyia kazi ila biashara huko covid nk zilivuruga. Ila nilihuzunika ile post fulani ukasema maneno badala ya kuniuliza.
Msela mmoja alikutwa na picha za child porn, alifungwa jela miaka kadhaa. Alipotoka DBS imeoza na bila DBS hupati kazi zinazolipa vizuri.
Bahati nzuri alikua na Pagala Dar, alilijenga enzi Mkapa ndiye Rais. Amerudi bongo na milioni 25. Amemaliza vyumba viwili kwenye Pagala lake anapika biriani jioni.
Mrejesho???Jamaa alipatwa na misukosuko ughaibuni na makaratasi yake ya uhamiaji yakaharibika kabisa. Badala ya kuendelea kuishi USA pasipo kujua mbele wala nyuma, ameamua arudi Tanzania akapambane huko. Anafanya kitu kinaitwa voluntary deportation ambayo badala ya kuzolewa na kurudishwa kwa lazima, unasalimu amri mwenyewe na kuamua kujirudisha kwenu kwa gharama zako mwenyewe.
Jamaa amejenga nyumba moja Tanzania kijijini lakini. Hana elimu ya chuo sababu misuko suko aliyokumbana nayo ilifanya ashindwe kusoma chuo USA. Hana ndugu wa kutegemea Tanzania wala USA. Na anarudi na USD 10,000 peke yake.
Naomba tumshauri kwamba aifanyie kazi gani hio hela angalau aingize kitu kidogo au ili maisha yasimpige. Asanteni wana JF.