Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Ungeilaumu Kenya kwa nini haijatoa tamko.Wakuu,
Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!
Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?
Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.
Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Unatafutaje hela uliyoweka mfuko wa shati.