Pre GE2025 Mtanzania anatekwa nchi jirani hakuna tamko lolote kutoka serikali ya Tanzania, hii ina maana gani?

Pre GE2025 Mtanzania anatekwa nchi jirani hakuna tamko lolote kutoka serikali ya Tanzania, hii ina maana gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Ungeilaumu Kenya kwa nini haijatoa tamko.

Unatafutaje hela uliyoweka mfuko wa shati.
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Usiseme tunakufa sema nakufa , walinzi wanajilinda wenyewe
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaj
huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?

In the Name of the President (Kabendera, 2025)
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?

Maza siku hizi amehamia Twitter pia....!!?
 
Unataka serikali hii-entertain ujinga na kuwapa kiki watu wa hovyo.

Ni jukumu la serikali ya Kenya ku-establish ya kuwa, serikali ya Tanzania inahusika.

Vinginevyo ni ujinga tu wa Maria na wafuasi wake.
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Unataka serikali itoe neno hata kwa mtu aliyejiteka?
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Mama Abdul, aka Samia Suluhu Hassan, aka Kifo ni kifo ndiye mhusika mkuu wa utekaji na mauaji. Unataka aseme nini ndugu tena, dhamira inamshitaki....Amezoea kuteka na kuua.
 
Hivi Tz kuna serikali ama kikundi cha wahuni kinachotafuna hela za wananchi?!
Kwa taarifa huyo mama hata hiyo ikulu hakai, anakaa muda mwingi Kizimkazi, hilo mbona kila mtu anajua. Hiyo ikulu yupo Abdul, Rajabu ambaye ni kama makamu wa rais (ana elimu ya form IV) ndiye wanayepanga kila kitu....kuteka, kuua na kuhakikisha hakuna anayemsema Samia vibaya, wanatumia pesa za watanzania vibaya jinsi wanavyotaka. Mawaziri wengi hawapendezwi wanaongelea pembeni, wengine kama wa fedha wameona wapige tu pesa.
 
 
Yaani apoteze muda wake kuizungumzia hii movie iliyobuma?!!! Watu mna masihara kweli kweli. Kama kucheza movie hata yeye mama Samia amecheza, inaitwa The Royal Tour sijui maria aliwahi kusema chochote kuhusu movie hiyo? Kama hakuwahi basi ni kwa vipi ye aseme kuhusu yake?!!
 
Kwa taarifa huyo mama hata hiyo ikulu hakai, anakaa muda mwingi Kizimkazi, hilo mbona kila mtu anajua. Hiyo ikulu yupo Abdul, Rajabu ambaye ni kama makamu wa rais (ana elimu ya form IV) ndiye wanayepanga kila kitu....kuteka, kuua na kuhakikisha hakuna anayemsema Samia vibaya, wanatumia pesa za watanzania vibaya jinsi wanavyotaka. Mawaziri wengi hawapendezwi wanaongelea pembeni, wengine kama wa fedha wameona wapige tu pesa.
"Asiyekuumba kukuumbua hawezi" haya maneno yaliwahi kusemwa na the late Dr Mwene Malecela (r.i.p) baada ya kuundiwa zengwe na kashfa zisizoeleweka na mkubwa flani hivi. Nayarudia Leo hapa kuwaalert nyie haters wa mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, kuwa hamuwezi kamwe kushindana na kudra za Mungu.......aliyeamua kumpa na kumstiri itabaki hivyo tu hata mfanye nini. Mnajiumiza wenyewe Bure na michuki yenu hiyo.
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Wako serious na biashara yao
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Wao wanafikiria uchaguzi wa 2025 kupitia kile kinachoendelea katika CDM hasa kinyang'anyiro cha nafasi ya M/Taifa.
 

Attachments

  • IMG_20250114_034437.jpg
    IMG_20250114_034437.jpg
    42.4 KB · Views: 2
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Huyo mtanzania anaisaidia nini nchi kukuza pato la taifa🤔🤔🤔🤔😂😂😂
 
Back
Top Bottom