Huko mambo hayo ni kawaida tuKuna nyuzi nyingi sana kuhusu maisha ya South Africa,mitaa yake, miji yake ,uhalifu,biashara n.k.
Wakina isanga family na wenzie wanaoishi / walioishi huko wamedadavua.
Tafuta usome..
Kweli kabisaSura sio roho ila mwamba alikuwa anaonekana ni Mtu kazi haswa
Kama katokea Magomeni Dar kwa asilimia kubwa huwa ni unga, maeneo ya Sinza, Manyanya, Mikocheni Yani Kinondoni kwa ujumla huwa ni Wazee wa short cuts success.CHANZO: INASIKITISHA SANA AISE View attachment 2634119
Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Huu ni uhalisia ingawa kuna watu watakupinga sanaa, 2018 kuna mtoto wa mama angu mkubwa yule dogo alishajikatia tamaa bongo (std seven leaver), hataki kazi, hataki hata kujiendeleza kwa shughuli ndogo ndogo, akili na kila kitu chake kinawaza kuingia “Deben” (Durban).Hao wanaojiita mabaharia pale Durban wengi ni wahuni tu na wabwia mihadharati hawana kazi na nin watu waliokata tamaa. Wengi walikwenda kule kwa lengo la kuwa na maisha bora kwa kuzamia meli ila wameishia kuwa wazururaji wanaoshinda na kulala chni ya madaraja na nje ya maduka.
Matukio kama hayo ya kuchomana visu mara nyingi wanafanyiana wenyewe kwenye makundi yao au kulipa visasi vya uhalifu.
Ukiangalia vizuri sura ya hayati huyo utanielewa
Kweli aiseeeAngeuawa kwenye nchi za Waarabu,hii thd ingekua inakimbia kama Rocket.
USA kila kukicha maniga yanapigana risasi za moto hovyo hovyo, tatizo vyombo vyao vya habari hutangaza mauaji ya Africa pekee kwa njaa, vita n.k wakiaminisha dunia kuwa kwao ni amani tupu kumbe ni kinyume kabisa ingawa kiuchumi wako njema.UK yenyewe haipiti siku 2 watu,vijana wanapigana visu tena UK mauaji ya visu it'd worse
Ova
[emoji23][emoji23]Sura sio roho ila mwamba alikuwa anaonekana ni Mtu kazi haswa
Duh nilitaka nitafute million mbili nikaanzie maisha sasa kwa maelezo haya ya kutisha hivi Acha nikomae home tu Yesu Ni MwemaHuu ni uhalisia ingawa kuna watu watakupinga sanaa, 2018 kuna mtoto wa mama angu mkubwa yule dogo alishajikatia tamaa bongo (std seven leaver), hataki kazi, hataki hata kujiendeleza kwa shughuli ndogo ndogo, akili na kila kitu chake kinawaza kuingia “Deben” (Durban). Mentality ya kuzamia ineshamuingia, by that time watoto wengi na mabro wa mtaani kwetu TMK wapo bondeni wanahustle, ikabidi tumpambanie dogo apate anachokitaka. Finally akafanikiwa kuingia kiwanja, alivyofika kule akajionea kwa macho yake maisha ya ndugu zetu mtaani, dogo akalast miezi tu akaomba atumiwe nauli arudi.
Hali inatisha sanaa, vijana wanauza roho, bongo wengine wameshaharibu (either waliondoka kwa misala au kuharibu home kwa kigezo cha kuzamia) kurudi nyuma wanaona sio kweli na ile mentality ya kuonekana failure wanaona bora wakaze tu.
Ushauri, ndugu na jamaa zangu, kwa SA hali ilivyo sasa kama hauna issue ya kueleweka au mtu (host) wa kukupokea na kukupa miongozo ya muhimu, achaa kabisa hizo ndoto, SA kumeharibika sanaa. Mbongo “last number” ameshaharibu sana kwa deals za uporaji, drugs n.k na hapendwi kabisa.
True chaliiii yangu. A bitter truth.Hao wanakuwa hawana mishe yoyote wanageukia wizi ili kupata hela ya kununua madawa. Mwisho wa siku wanaishia kuuwawa.
Jamaa hajui jinsi gani Magaidi, Matapeli, Majambazi, Wauza madawa ya kulevya, Wachawi ni smart sana kimwonekano wa maumbile na sura [emoji848][emoji1]Kweli kabisa
Kuna wengine wana personality
Lakini ni mafia balaa
Ova
Kama katokea Magomeni Dar kwa asilimia kubwa huwa ni unga, maeneo ya Sinza, Manyanya, Mikocheni Yani Kinondoni kwa ujumla huwa ni Wazee wa short cuts success.
Vijana wenye 20 - 24 yrs tayari anamiliki Toyota Discovery 3 no D, ukichunguza kwa kina unakuta ni inshu ya unga, ujambazi au ushoga.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nah man, sipo hapa kukukatisha au kumkatisha mtu yoyote tamaa, the truth must be told, ndicho tunachokifanya, kukupa black and white.Duh nilitaka nitafute million mbili nikaanzie maisha sasa kwa maelezo haya ya kutisha hivi Acha nikomae home tu Yesu Ni Mwema
Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Bongo balaa, 2019-2021 nilikuwa nipo sana mitaa ya Manyanya kikazi, nilishuhudia Vijana rika hilo wakimiliki Land Rover Discovery 3, Land Cruiser Prado nyeusi hadi nikawa najiuliza mi nimekuja duniani kusindikiza Watu tu wale bata nikiwa nang'aa ng'aa sharubu au sijui namna ya kutafuta chapaa?Toyota discovery????????
R.I.P mbongo wa bondeni anayeitwa Mohamed ila a.k.a yake ni Geoger "Wauwe".....CHANZO: INASIKITISHA SANA AISE View attachment 2634119
Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Very bad,ila Kwa kuangalia lugha ya picha Jamaa kama alikuwa nunda hivi.Hivi South Africa kuna nini mbona watanzania wanakufa sana kwa mnaoifahamu South africa je Ni vibaya kwa watanzania Kwenda Kutafuta maisha huko na je ni mitaa ipi ambayo ni salama kwa Kuishi kama mtanzania atapenda Kwenda Kuishi ili Asiuwawe?
Mtanzania Anaeitwa Mohhamed Hassan Ameuwawa Kwa Kuchomwa Visu Na Watu Wasio Julikana taarifa hii imetolewa katika kundi Lao liitwalo mabaharia the sailors lililopo Facebook.
JE SOUTH AFRICA SIO SEHEMU SALAMA YA KUISHI KWA MTANZANIA MFANO MTU UNATAKA KWENDA NA FAMILIA YAKO AU WEWE MWENYEWE UKAISHI?.
View attachment 2634089
Bongo balaa, 2019-2021 nilikuwa nipo sana mitaa ya Manyanya kikazi, nilishuhudia Vijana rika hilo wakimili Toyota Discovery 3, Land Cruiser Prado nyeusi hadi nikawa najiuliza mi nimekuja duniani kusindikiza Watu tu wale bata nikiwa nang'aa ng'aa sharubu au sijui namna ya kutafuta chapaa?
Nilipojikita kusogea karibu na nyuki ili nile asali, niliishia kunyanyua mikono juu [emoji119]
Duniani kuna Watu hawaogopi kufa ilimradi tu watoboe mapema, tena wanakwambia kabisa kuna haja gani kuishi hadi miaka 60, 70 kwa mateso ukiwa hujui utapata lini faranga ilihali connections zipo tele kikubwa ni kuwa tu Jasiri? [emoji23]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app