Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
RIP Mpambanaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamwene mkuu hiyo fwafwanzika inajieleza kabisa wewe ni ndugu yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni wazi huyu bwana hakua huko kisheria hebu rudini nyumbani msitutilie aibu huko Sasa sura utafikiri mtu yupo Ubungo Durban gani uso umefwafwanzika hivyo si ndio vibaka wenyewe hao ushauri wangu wabongo mjitafakari huko
Basi tumeshajua sababu ya kuuawaBila shaka alikuwa pedo pusha
Hivi South Africa kuna nini, mbona Watanzania wanakufa sana? Kwa mnaoifahamu South africa je, ni vibaya kwa Watanzania kwenda kutafuta maisha huko na je, ni mitaa ipi ambayo ni salama kwa Kuishi kama Mtanzania atakaependa kwenda kuishi ili asiuwawe?
Mtanzania anaeitwa Mohhamed Hassan ameuwawa kwa kuchomwa visu na watu wasiojulikana, taarifa hii imetolewa katika kundi lao liitwalo mabaharia the sailors lililopo Facebook.
Je, South Afrika sio sehemu salama ya kuishi kwa Mtanzania, ikitokea mtu unataka kwenda na familia yako au wewe mwenyewe ukaishi?
View attachment 2634089
Shukrani kunisahihisha, ni Land Rover Discovery 3 wala si Toyota Discovery 3.Mkuu hakuna toyota discovery kuna Land rover Discovery
Kwa sababu blacks wapo hukoSouth Africa na USA ni mahali pa kutalii tu na kuchapa lapa, kuna nchi zina amani hazina hata majeshi ya Wananchi zaidi ya Polisi tu.
Iceland, Ireland ni amani tele mpaka inamwagika, labda uzingatie tu kutunza afya yako.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Na ndio maana wanauawa kila sikuLazima ni madawa ya kulevya,wamedhurumiana itakuwa.
Waarabu hawana ushenzi wa kuua wageni hivyo.Angeuawa kwenye nchi za Waarabu,hii thd ingekua inakimbia kama Rocket.
South Africa na USA ni mahali pa kutalii tu na kuchapa lapa, kuna nchi zina amani hazina hata majeshi ya Wananchi zaidi ya Polisi tu.
Iceland, Ireland ni amani tele mpaka inamwagika, labda uzingatie tu kutunza afya yako.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ukisikia Mbongo mpe picha tu,habari ataandika mwenyewe,ndio hii sasa.Lazima ni madawa ya kulevya,wamedhurumiana itakuwa.
Soma post no 60.Sio kweli, nimeishi Nashville USA, ni amani kuliko Masaki, hata ndege na wadudu wana thamani, nenda huko China town na maeneo mengine.
Uingereza visu kuchomana dailyUSA kila kukicha maniga yanapigana risasi za moto hovyo hovyo, tatizo vyombo vyao vya habari hutangaza mauaji ya Africa pekee kwa njaa, vita n.k wakiaminisha dunia kuwa kwao ni amani tupu kumbe ni kinyume kabisa ingawa kiuchumi wako njema.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ndiyo hustle za maisha hizoMabaharia (Sailor's) jitafakarini kabla ya kuzamia, apumzike kwa amani.
Hiyo unasema weweTuendelee kupamabana wadau hapahapa,mbona wenzetu wanaotoka nje wakija huku wanona kuna fursa kibao na wakikomaa wanachomoa?inakuwaje sisi wazawa hatuzioni,hakuna mafanikio bila ya kutoka jasho tupambane vijana, kama umeandikiwa kutoboa utatoboa tu...
Basi tusipangiane namna ya kukubaliana mawazo, wewe ukiishi sehemu 1 ya USA si sehemu zote ulizoishi.Sina sababu, USA nimeishi Mimi, sio Mjomba wangu, kuna maeneo salama sana ambayo hata Tanzania hakuna.
Kuzimu si sehemu. Habari hii imekaa kishabiki zaidi.Basi tusipangiane namna ya kukubaliana mawazo, wewe ukiishi sehemu 1 ya USA si sehemu zote ulizoishi.
2010 nilikutana na Mu-Australia mmoja mtasha halikadhalika naye hakutaka kabisa kukubaliana na mawazo yako haya, alisema ni heri hata aishi kuzimu ila si USA.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Katika "The Godfather" walisema wamechagua wenyewe maisha hayo.Hiyo unasema wewe
Kwa anayekutoka aacha atoke
Ova