Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Sura sio roho**** sura ukiziona tu unajua huyu ni mwizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sura sio roho**** sura ukiziona tu unajua huyu ni mwizi
Hii kali jamani...you made my day🤣🤣umefwafwanzika
Wauza unga hao hamna ubaharia wowote.Hivi South Africa kuna nini, mbona Watanzania wanakufa sana? Kwa mnaoifahamu South africa je, ni vibaya kwa Watanzania kwenda kutafuta maisha huko na je, ni mitaa ipi ambayo ni salama kwa Kuishi kama Mtanzania atakaependa kwenda kuishi ili asiuwawe?
Mtanzania anaeitwa Mohhamed Hassan ameuwawa kwa kuchomwa visu na watu wasiojulikana, taarifa hii imetolewa katika kundi lao liitwalo mabaharia the sailors lililopo Facebook.
Je, South Afrika sio sehemu salama ya kuishi kwa Mtanzania, ikitokea mtu unataka kwenda na familia yako au wewe mwenyewe ukaishi?
View attachment 2634089
Watu wasiojulikana wako akilini mwa WaTz. Wanajuana, na wanajua sababu ya tukio hili.Hivi South Africa kuna nini, mbona Watanzania wanakufa sana? Kwa mnaoifahamu South africa je, ni vibaya kwa Watanzania kwenda kutafuta maisha huko na je, ni mitaa ipi ambayo ni salama kwa Kuishi kama Mtanzania atakaependa kwenda kuishi ili asiuwawe?
Mtanzania anaeitwa Mohhamed Hassan ameuwawa kwa kuchomwa visu na watu wasiojulikana, taarifa hii imetolewa katika kundi lao liitwalo mabaharia the sailors lililopo Facebook.
Je, South Afrika sio sehemu salama ya kuishi kwa Mtanzania, ikitokea mtu unataka kwenda na familia yako au wewe mwenyewe ukaishi?
View attachment 2634089
Ndongele muyaaKamwene mkuu hiyo fwafwanzika inajieleza kabisa wewe ni ndugu yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vibaka Hawa haiwezekani mtu upo bondeni sura inakua ngumu hivyoBora wabaki hukohuko,huku wakirudi Tanzania wataongeza idadi ya panya road mtaani!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hizi Data umetoa wapi ?UK yenyewe haipiti siku 2 watu,vijana wanapigana visu tena UK mauaji ya visu it'd worse
Ova
wisevoter.com
Stabbings and stabbing deaths are serious issues in countries across the world, yet in the United Kingdom, they are not as common as in other nations. With a death rate of only 0.08 per 100,000 people, the United Kingdom has one of the lowest stabbing death rates in the world. However, this does not mean that knife crime is non-existent; there have been many cases of people being victims or perpetrators of stabbings throughout the years. In particular, most reported incidents happen to young people aged between 10 and 24.
Cape town wanakaa washua tu huwezi kusikia habari za kipumbavu. Ni kama Oysterbay kwa hapa BongoMbona cape town hakusikiki habari hizi kama ilivyo kwa Joberg, Durban na Pretoria?
Wabongo wengi south wanakuja vyovyote tu wanaofanya shughuli zakueleweka ni wachache sana.wengi ni vibaka ,na haipiti week mwenzetu mmoja anarudishwa kwenye kabati.Alikuwa anafanya kazi gani? tukijua hilo maswali yako ni rahisi kujibika
Du!inasikitishaWabongo wengi south wanakuja vyovyote tu wanaofanya shughuli zakueleweka ni wachache sana.wengi ni vibaka ,na haipiti week mwenzetu mmoja anarudishwa kwenye kabati.
Hii note kubwa Sana kwa wote wanaotaka kuluka kiwanja..waepuke kbsa wabongoHuwezi aminii wabongo SA wanauana wenyewe kwa wenyewe ukifika SA kwaajili ya kutafuta maisha kama unaweza kuwakwepa wabongo wakwepe kabisa usifikiri utakua umekutana na ndugu yako wengi ni wezi na ma snitch kukuchomesha ni kugusa tu
NiceIm all good man, situation is better now. Thanks to the almighty God.
Kila mtu ni kamanda wangu humu masnitch wachache sana.
Anakwambia hataki kwenda mbinguni na watakatifu amuimbie imbie Mungu tu, atakuwa bored. Anataka kwenda kwa machizi.When I die fxck it gone to the hell, cause of a piece shit it's hard to tell.... ( In a notorious B.I.G voice ) suicidal thoughts song.
Itabidi tukupe kazi ya usuluhishi wa tifu za kimataifa JF, kama Katibu Mkuu wa UN ya JF.Kila mtu ni kamanda wangu humu masnitch wachache sana.
Mtu A.k.A yake wauwe lazima awe mtu wa kaziSura sio roho ila mwamba alikuwa anaonekana ni Mtu kazi haswa