Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Kuzimu si sehemu. Habari hii imekaa kishabiki zaidi.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuzimu si sehemu. Habari hii imekaa kishabiki zaidi.
Huyo mtanzania sasa.. laugh [emoji2] hihihihhhHivi South Africa kuna nini, mbona Watanzania wanakufa sana? Kwa mnaoifahamu South africa je, ni vibaya kwa Watanzania kwenda kutafuta maisha huko na je, ni mitaa ipi ambayo ni salama kwa Kuishi kama Mtanzania atakaependa kwenda kuishi ili asiuwawe?
Mtanzania anaeitwa Mohhamed Hassan ameuwawa kwa kuchomwa visu na watu wasiojulikana, taarifa hii imetolewa katika kundi lao liitwalo mabaharia the sailors lililopo Facebook.
Je, South Afrika sio sehemu salama ya kuishi kwa Mtanzania, ikitokea mtu unataka kwenda na familia yako au wewe mwenyewe ukaishi?
View attachment 2634089
Huko hata kutalii siendi.
Unaenda Tu Kiroho ngumuHuko hata kutalii siendi.
House negroesMjomba wangu mmoja ni Professor yuko huko kwa zaidi ya miaka 20 sasa, awali qlikuwa New York ila sasa hivi yuko Miami, anakwambia ukiwa ngozi nyeusi uliyetokea nnje ya USA afu wazawa weusi wakakugundua lazima watakutenga tu bila sababu tena wanakuchukia na wabinafsi mno kuliko hata ambavyo wangekuchukia Wazungu.
Anadai sababu kubwa huwa wanajiweka kwenye first class ya ubora wa maisha, akili, maarifa na hata elimu kuliko ngozi nyeusi yoyote itokayo nnje ya USA.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Katika "The Godfather" walisema wamechagua wenyewe maisha hayo.
Kwamba sura sio roho!!Marehemu asemwi Ila au basi.....Resty in Peace
Hakuwa na sura mbaya lakini.Kwamba sura sio roho!!
Exactly kila mtu na maisha yake na namna ya utafutaji wakeKatika "The Godfather" walisema wamechagua wenyewe maisha hayo.
Sura sio roho ila mwamba alikuwa anaonekana ni Mtu kazi haswa
Kama katokea Magomeni Dar kwa asilimia kubwa huwa ni unga, maeneo ya Sinza, Manyanya, Mikocheni Yani Kinondoni kwa ujumla huwa ni Wazee wa short cuts success.
Vijana wenye 20 - 24 yrs tayari wanamiliki Land Rover Discovery 3 no D, ukichunguza kwa kina unakuta ni inshu ya unga, ujambazi au ushoga.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Bora wabaki hukohuko,huku wakirudi Tanzania wataongeza idadi ya panya road mtaani!!Ni wazi huyu bwana hakua huko kisheria hebu rudini nyumbani msitutilie aibu huko Sasa sura utafikiri mtu yupo Ubungo Durban gani uso umefwafwanzika hivyo si ndio vibaka wenyewe hao ushauri wangu wabongo mjitafakari huko
Hili jina sio geni masikioni mwangu, huyu mtu tulikuwa wote Makanya kwa Bi Nyau kama sikoseiR.I.P mbongo wa bondeni anayeitwa Mohamed ila a.k.a yake ni Geoger "Wauwe".....