TANZIA Mtanzania auawa kwa kuchomwa visu nchini Afrika Kusini

TANZIA Mtanzania auawa kwa kuchomwa visu nchini Afrika Kusini

Nah man, sipo hapa kukukatisha au kumkatisha mtu yoyote tamaa, the truth must be told, ndicho tunachokifanya, kukupa black and white.
Mimi mwenyewe ni hustler na mtafuta riziki, popote kambi [emoji23]. Unaweza kurefer baadhi ya thread zangu huko nyuma kuhusu kuingia kiwanja.


Ila kabla hujafanya move yoyote linapokuja swala la kutafuta green pastures kuna mambo ya kuconsider zile pigo za miaka ya 90’s kujilipua bila kucalculate risk kwangu mimi naona ni ujuha.

Mimi swala la kuingia viwanja vya afrika let’s say SA, namibia, botswana nilikataa nikasema nitatafuta namna yoyote niforce niingie Europe/America kwanza, hata kama nitachelewa lakini vema kuanzia huko, and YES 2019 i made it to Germany [emoji629].

Turudi kwenye comment yako bro, ivi kweli 2M unaamini unaenda kufanya nini SA mkuu? [emoji51]
Nimekupata kaka... Ishu ya million mbili si ni mtaji wa Kuanzia maisha vipi ni kubwa Au ndogo kama ndogo ungefunguka tu ili iwe faida kwa wengi mana bado watu wanatamani Kwenda huko

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
 
USA kila kukicha maniga yanapigana risasi za moto hovyo hovyo, tatizo vyombo vyao vya habari hutangaza mauaji ya Africa pekee kwa njaa, vita n.k wakiaminisha dunia kuwa kwao ni amani tupu kumbe ni kinyume kabisa ingawa kiuchumi wako njema.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwanini mauaji mengi uko ni ma niga ndo yana uana?
Hapo ndo nakubaliana na Trump kwamba ngozi nyeusi ni ishara ya ukorofi, vita , ujinga na umasikini.
 
Huu ni uhalisia ingawa kuna watu watakupinga sanaa, 2018 kuna mtoto wa mama angu mkubwa yule dogo alishajikatia tamaa bongo (std seven leaver), hataki kazi, hataki hata kujiendeleza kwa shughuli ndogo ndogo, akili na kila kitu chake kinawaza kuingia “Deben” (Durban).

Mentality ya kuzamia ineshamuingia, by that time watoto wengi na mabro wa mtaani kwetu TMK wapo bondeni wanahustle, ikabidi tumpambanie dogo apate anachokitaka. Finally akafanikiwa kuingia kiwanja, alivyofika kule akajionea kwa macho yake maisha ya ndugu zetu mtaani, dogo akalast miezi tu akaomba atumiwe nauli arudi.

Hali inatisha sanaa, vijana wanauza roho, bongo wengine wameshaharibu (either waliondoka kwa misala au kuharibu home kwa kigezo cha kuzamia) kurudi nyuma wanaona sio kweli na ile mentality ya kuonekana failure wanaona bora wakaze tu.

Ushauri, ndugu na jamaa zangu, kwa SA hali ilivyo sasa kama hauna issue ya kueleweka au mtu (host) wa kukupokea na kukupa miongozo ya muhimu, achaa kabisa hizo ndoto, SA kumeharibika sanaa. Mbongo “last number” ameshaharibu sana kwa deals za uporaji, drugs n.k na hapendwi kabisa.
Nina uzoefu na hao jamaa. Wale wasoth wanawaheshimu hao TZ kwa sababu za kihistoria tu ila wamekuwa ndio chanzo cha uhalifu na wanasema wao ndio wanawafundishwa wahuni wa south wizi na uhalifu ule wa KImanzese
 
Nimekupata kaka... Ishu ya million mbili si ni mtaji wa Kuanzia maisha vipi ni kubwa Au ndogo kama ndogo ungefunguka tu ili iwe faida kwa wengi mana bado watu wanatamani Kwenda huko

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Ni ndogo mkuu, life in SA is very expensive. Juzi nimeona kuna basi mpya zinapiga route Tz (Dar) to Joberg (SA) nauli ni almost laki sita na unusu, sijajua kama inainclude na kula, so ukisema uweke na expenses zako njiani roughly unaweza kuta umespend hata 800k, umefika kiwanja huku ukiwa na let’s say 1.2 M on hand huna ramani wala mtu wa kukupa mchongo wa kusurvive kwa mwanzoni, for how long you’ll last na hiyo amount??? Matokeo yake ndio baada ya wiki unajikuta mzurululaji na kulala chini ya madaraja, unapata wana wanakuvuta kwenye michongo ya drugs and you need to survive, utakataa???

Mind you wageni wengi wakiingia na kuvutwa kwenye issue za drugs wao ndio wanatumika kama chambo, (punda) kusupply huku wazoefu wanakuchora tu, hence mbanga kama hizi zinatokea utasikia mwana kapigwa beto ya tumbo na case kama hizo.

Kikubwa ni kujipanga na atleast hata kwa hiyo pesa yako uwe na mwenyeji wa kukupokea na kukuhost kwa kipindi flani wakati unatafuta michongo ya kujishikiza na kiuhalisia ukiwa na mwenyeji mwenye nia njema ataweza kukusaidia hata kukupa ABC’s.
 
Nina uzoefu na hao jamaa. Wale wasoth wanawaheshimu hao TZ kwa sababu za kihistoria tu ila wamekuwa ndio chanzo cha uhalifu na wanasema wao ndio wanawafundishwa wahuni wa south wizi na uhalifu ule wa KImanzese
Exactly mkuu, kwanza mtz, “last number” anaogopeka sana SA, sababu kubwa mbongo ni janja janja nyingi na haaminiki,
 
Huwezi aminii wabongo SA wanauana wenyewe kwa wenyewe ukifika SA kwaajili ya kutafuta maisha kama unaweza kuwakwepa wabongo wakwepe kabisa usifikiri utakua umekutana na ndugu yako wengi ni wezi na ma snitch kukuchomesha ni kugusa tu
Yeah hipo ivyo
 
South Africa na USA ni mahali pa kutalii tu na kuchapa lapa, kuna nchi zina amani hazina hata majeshi ya Wananchi zaidi ya Polisi tu.

Iceland, Ireland ni amani tele mpaka inamwagika, labda uzingatie tu kutunza afya yako.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
RIP baharia.

USA si nchi, ni idea.

Katika USA kuna states 50, zote tofauti.

Na katika kila states kuna counties tofauti.

Na katika kila county kuna miji tofauti.

Na katika kila mji kuna neighborhoods tofauti.

Unachagua tu unataka kukaa wapi.

Kuna sehemu USA watu wanalala bila kulock milango siku zote za mwaka. Na hakuna uhalifu.
 
Bongo balaa, 2019-2021 nilikuwa nipo sana mitaa ya Manyanya kikazi, nilishuhudia Vijana rika hilo wakimiliki Toyota Discovery 3, Land Cruiser Prado nyeusi hadi nikawa najiuliza mi nimekuja duniani kusindikiza Watu tu wale bata nikiwa nang'aa ng'aa sharubu au sijui namna ya kutafuta chapaa?

Nilipojikita kusogea karibu na nyuki ili nile asali, niliishia kunyanyua mikono juu [emoji119]

Duniani kuna Watu hawaogopi kufa ilimradi tu watoboe mapema, tena wanakwambia kabisa kuna haja gani kuishi hadi miaka 60, 70 kwa mateso ukiwa hujui utapata lini faranga ilihali connections zipo tele kikubwa ni kuwa tu Jasiri? [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Na ndio siri ya utajiri ilivyo ni kuwa jasiri kwa kufanya lolote linalowezekana kuleta utajiri bila kuogopa chochote.
 
Hivi South Africa kuna nini mbona watanzania wanakufa sana kwa mnaoifahamu South africa je Ni vibaya kwa watanzania Kwenda Kutafuta maisha huko na je ni mitaa ipi ambayo ni salama kwa Kuishi kama mtanzania atapenda Kwenda Kuishi ili Asiuwawe?

Mtanzania Anaeitwa Mohhamed Hassan Ameuwawa Kwa Kuchomwa Visu Na Watu Wasio Julikana taarifa hii imetolewa katika kundi Lao liitwalo mabaharia the sailors lililopo Facebook.

JE SOUTH AFRICA SIO SEHEMU SALAMA YA KUISHI KWA MTANZANIA MFANO MTU UNATAKA KWENDA NA FAMILIA YAKO AU WEWE MWENYEWE UKAISHI?.

View attachment 2634089
Mbona kafanana na wale wa Manzese uwanja wa fisi.
 
Nimeishi South Africa miaka 3 wabongo wengi wauza unga bangi wezi vibaka waporaji majambazi na wengine wana maisha magumu aisee ni kulewa wanatia huruma, ajab kurudi home hawataki na wadada wao punda wadangaji na wauzaji wenzao kwa drug dealer wanaleta wadada toka bongo,hata anaefanya kazi halal utakuta nyuma anauza kete za unga au bangi na wana dhulumiana wanachomana wanaibiana hapo ndo kuchomwa kisu kupigwa risasi kupigwa chupa kawaida.
 
Nimeishi South Africa miaka 3 wabongo wengi wauza unga bangi wezi vibaka waporaji majambazi na wengine wana maisha magumu aisee ni kulewa wanatia huruma, ajab kurudi home hawataki na wadada wao punda wadangaji na wauzaji wenzao kwa drug dealer wanaleta wadada toka bongo,hata anaefanya kazi halal utakuta nyuma anauza kete za unga au bangi na wana dhulumiana wanachomana wanaibiana hapo ndo kuchomwa kisu kupigwa risasi kupigwa chupa kawaida.
Duh Hatari sana

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
 
Tuendelee kupamabana wadau hapahapa,mbona wenzetu wanaotoka nje wakija huku wanona kuna fursa kibao na wakikomaa wanachomoa?inakuwaje sisi wazawa hatuzioni,hakuna mafanikio bila ya kutoka jasho tupamabane vijana, kama umeandikiwa kutoboa utatoboa tu...
Nakubali kamanda

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
 
Kwanini mauaji mengi uko ni ma niga ndo yana uana?
Hapo ndo nakubaliana na Trump kwamba ngozi nyeusi ni ishara ya ukorofi, vita , ujinga na umasikini.
Mjomba wangu mmoja ni Professor yuko huko kwa zaidi ya miaka 20 sasa, awali qlikuwa New York ila sasa hivi yuko Miami, anakwambia ukiwa ngozi nyeusi uliyetokea nnje ya USA afu wazawa weusi wakakugundua lazima watakutenga tu bila sababu tena wanakuchukia na wabinafsi mno kuliko hata ambavyo wangekuchukia Wazungu.

Anadai sababu kubwa huwa wanajiweka kwenye first class ya ubora wa maisha, akili, maarifa na hata elimu kuliko ngozi nyeusi yoyote itokayo nnje ya USA.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom