TANZIA Mtanzania auliwa kwa kupigwa risasi Marekani, anaitwa RODGERS KYARUZI, alipata maluweluwe

TANZIA Mtanzania auliwa kwa kupigwa risasi Marekani, anaitwa RODGERS KYARUZI, alipata maluweluwe

Poleni sana wafiwa, Poleni sana Watanzania popote mlipo, Poleni sana Tanzania Diaspora wa USA. sote tunyayue sauti kulaani kitendo hiki.

USA wanajulikana kwa ubaguzi wao kwa watu weusi, huyu Mtanzania mwenzetu na yeye yamemkumba? Au kauliwa na mweusi mwenzake?

The Georgia Bureau of Investigation has identified a man who was shot and killed Wednesday afternoon after struggling for an Atlanta police officer's gun at a restaurant in Buckhead.

The shooting happened around 2:45 p.m. at the Lenox Village business complex, located in the 2700 block of Lenox Road.

Soma zaidi: https://www.fox5atlanta.com/news/gb...over-atlanta-officers-gun-buckhead-restaurant

Habari inajieleza yenyewe lakini haijakamilika kwa kina, sema mtangazaji anaongea Kiswahili kibovu, hana sauti yenye haiba ya utangazaji. Mwenye maelezo zaidi atie nyama.

Poleni tena wafiwa


Huyu dogo anaonekata kukitafuta kifo chake baada ya kuiga mambo ya vijana wa Kimarekani. Kafanya "TIZI" na kupata kifua cha kuku basi akaanza mambo ya ubabe wa hapa na pale hadi kufikia kutaka kupokonya bunduki ya polisi, polisi naye kwa sheria ya kwao ambapo hata hapa kwetu ipo akawa hatarini na akatumia silaha ya moto kwa mtu anayehatarisha usalama. RIP dogo wa Ki-ishomile.
 
Acha zako, jamaa ni millionaire anaanzaje kuombaomba restaurant? kwanza issue yenyewe ya mwezi April leo ndo mnaileta humu?
Milionea ndo wapo hivo kumbe? Umeisoma hiyo link hapo juu? Kwa kifupi anaonekana fukara mmoja ambaye ana njaa kaingia restaurant na kuanza kusumbua wateja. Ingekua Bongo na nchi zingine zilizostaarabika wangempa chakula ila kwa marekani unakufaa njaa hapo mtu anampa mbwa wake burgers [emoji488]. Ukiendelea kusumbua ndo hivyo unakula risasi.
 
Atlanta ni mji wa kihuni sana na rappers wengi na producers wao wanazaliwa uko. Ila mtu akipigwa risasi na askari huwa naamini kuna chanzo na yeye kachangia, askari atoke from nowhere apige mtu risasi kisa ubaguzi? Siamini sana katika hilo.

Kesi nyingi kama hizo unakuta ubaguzi unachangia kiasi kidogo

Huyu dogo anaonekata kukitafuta kifo chake baada ya kuiga mambo ya vijana wa Kimarekani. Kafanya "TIZI" na kupata kifua cha kuku basi akaanza mambo ya ubabe wa hapa na pale hadi kufikia kutaka kupokonya bunduki ya polisi, polisi naye kwa sheria ya kwao ambapo hata hapa kwetu ipo akawa hatarini na akatumia silaha ya moto kwa mtu anayehatarisha usalama. RIP dogo wa Ki-ishomile.
 
Mmesikia maelezo waliyotoa police
Lakini!

Poleni wafiwa

Ova
 
Atlanta ni mji wa kihuni sana na rappers wengi na producers wao wanazaliwa uko. Ila mtu akipigwa risasi na askari huwa naamini kuna chanzo na yeye kachangia, askari atoke from nowhere apige mtu risasi kisa ubaguzi? Siamini sana katika hilo.

Kesi nyingi kama hizo unakuta ubaguzi unachangia kiasi kidogo
Nasita tu kusema terrorist kwa vile si mtu wa makubasi, vinginevyo ningesema hivyo ukizingatia alikuwa anataka kuwapoka pisto.
 
Waafrika wanaoishi huko ndo wanaongoza Kwa ujeuri ujuaji kuliko hata wenye nchi yao, kama vile tunavyoona mbongo akienda ulaya akirudi anawaona wenzake kama manyani , kujiona kwingi ndo Walivyo hao mafala .....!!!
Tena ni wabaguzi kuliko hata ngozi nyeupe yenyewe ......!!! Nchi za watu unaleta usela mavi lazima wakumalize tuuu .....!! Nchi uliyopewa na Bwana Mungu wako ndo nchi yako , kwingine ni kambi tu na utafutaji , ukiwa nchi za watu kiutafutaji unatakiwa uwe mpole ....sio kujidai kutaka haki kwenye nchi za watu , kwenu ndo utaringa...vijana tujifunzeni maisha ni mafupi na hayana spare..so sad to lose such a young guy
 
Poleni sana wafiwa, Poleni sana Watanzania popote mlipo, Poleni sana Tanzania Diaspora wa USA. sote tunyayue sauti kulaani kitendo hiki.

USA wanajulikana kwa ubaguzi wao kwa watu weusi, huyu Mtanzania mwenzetu na yeye yamemkumba? Au kauliwa na mweusi mwenzake?

The Georgia Bureau of Investigation has identified a man who was shot and killed Wednesday afternoon after struggling for an Atlanta police officer's gun at a restaurant in Buckhead.

The shooting happened around 2:45 p.m. at the Lenox Village business complex, located in the 2700 block of Lenox Road.

Soma zaidi: https://www.fox5atlanta.com/news/gb...over-atlanta-officers-gun-buckhead-restaurant

Habari inajieleza yenyewe lakini haijakamilika kwa kina, sema mtangazaji anaongea Kiswahili kibovu, hana sauti yenye haiba ya utangazaji. Mwenye maelezo zaidi atie nyama.

Poleni tena wafiwa


Dogo alikuwa mbabe alikuwa anafanya fujo ndani ya mgahawa-Askari wakati wanamuhoji akawa anataka mnyanganya Askari Silaha yake- So Askari akajihami kwa kumchapa Nayo.
 
Poleni sana wafiwa, Poleni sana Watanzania popote mlipo, Poleni sana Tanzania Diaspora wa USA. sote tunyayue sauti kulaani kitendo hiki.

USA wanajulikana kwa ubaguzi wao kwa watu weusi, huyu Mtanzania mwenzetu na yeye yamemkumba? Au kauliwa na mweusi mwenzake?

The Georgia Bureau of Investigation has identified a man who was shot and killed Wednesday afternoon after struggling for an Atlanta police officer's gun at a restaurant in Buckhead.

The shooting happened around 2:45 p.m. at the Lenox Village business complex, located in the 2700 block of Lenox Road.

Soma zaidi: https://www.fox5atlanta.com/news/gb...over-atlanta-officers-gun-buckhead-restaurant

Habari inajieleza yenyewe lakini haijakamilika kwa kina, sema mtangazaji anaongea Kiswahili kibovu, hana sauti yenye haiba ya utangazaji. Mwenye maelezo zaidi atie nyama.

Poleni tena wafiwa



Nimesikitika sanaa aisee. Daaah

Namfaham sana huyu jamaa zamani sana kipindi yupo bongo aliwahi soma academic international primary school in Mikocheni akiwa anaishi Kijitonyama alikua na aunty yake nae alikua mwalimu hiyo hiyo shule…..then after the 4th grade yeye na mama yake wakaruka ng’ambo states……mpaka leo tho alirudigi like 3 years ago kutembea bongo toka aondoke mbele

Jamaa alikua anafanya vizuri kweli mbele huko hata social media zake nlikua namuona ingawa sina uhakika sana na personal life yake alivyokua huko zaidi kwamba alikua na mke, mtoto and was onto real estate and IT company ila kwa hapa bongo kabla ya kuondoka nlikua namfaham sana tu.

Kuelezea zaidi itakua kama naji fungua my real identity ila ndio hivyo.

Sasa sijui imekuwaje tena….Daaah

Daah Rest in Power Rodgers Kyaruzi.
This is just too Sad.
 
Wataandamana huko marekani? Au kwakua siyo mmarekani mweusi basi watapotezea . Ushauri wa bure vijana bora kuishi kwenu hata kama ni masikini kuliko kukimbilia miji ya watu matokeo yake ndio hivyo unauliwa na hawana time .
Wengine mbona awauliwi nchi za watu usilete ujuaji wa kibongo utaishi kwa Amani.Ubaguzi ni human nature Jamii zozote zisizofanana hazichangamani.
 
Milionea ndo wapo hivo kumbe? Umeisoma hiyo link hapo juu? Kwa kifupi anaonekana fukara mmoja ambaye ana njaa kaingia restaurant na kuanza kusumbua wateja. Ingekua Bongo na nchi zingine zilizostaarabika wangempa chakula ila kwa marekani unakufaa njaa hapo mtu anampa mbwa wake burgers [emoji488]. Ukiendelea kusumbua ndo hivyo unakula risasi.

RIP,,,,kuna nchi sio zakuishi sema utafutaji tu hauna jinsi,,,US,Ukraine,German,UK,Russia,Austria,Bulgaria,Poland[emoji1373]
 
Hakuna kitu kibaya duniani kama ubaguzi inauma sana tuliopitia tunajua haijalishi utabaguliwa rangi yako ,dini au kabila
 
Back
Top Bottom