Poleni sana wafiwa, Poleni sana Watanzania popote mlipo, Poleni sana Tanzania Diaspora wa USA. sote tunyayue sauti kulaani kitendo hiki.
USA wanajulikana kwa ubaguzi wao kwa watu weusi, huyu Mtanzania mwenzetu na yeye yamemkumba? Au kauliwa na mweusi mwenzake?
The Georgia Bureau of Investigation has identified a man who was shot and killed Wednesday afternoon after
struggling for an Atlanta police officer's gun at a restaurant in Buckhead.
The shooting happened around 2:45 p.m. at the Lenox Village business complex, located in the 2700 block of Lenox Road.
Soma zaidi:
https://www.fox5atlanta.com/news/gb...over-atlanta-officers-gun-buckhead-restaurant
Habari inajieleza yenyewe lakini haijakamilika kwa kina, sema mtangazaji anaongea Kiswahili kibovu, hana sauti yenye haiba ya utangazaji. Mwenye maelezo zaidi atie nyama.
Poleni tena wafiwa