Mtanzania Dkt. Wendeline achaguliwa kuwa Mkurungenzi wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika anayesimamia Nchi 22

Mtanzania Dkt. Wendeline achaguliwa kuwa Mkurungenzi wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika anayesimamia Nchi 22

Sawa aliwahi kutoka. Unajua shida taasisi nyingi za serikali haziruhusu watu kukua.
Aliwahi kutoka kwa sababu labda alikuwa kwenye kitengo ambacho huwezi kula kwa urefu wa kamba.Kwenye taasisi za serikali watu wanajali zaidi kula kwa urefu wa kamba kuliko cheo.
 
Watanzania tupende kufanya kazi taasisi na kampuni za kimataifa badala ya kutwa kuwinda vyeo vya kisiasa

Huyo mwanaume kushoto pichani ndie Zarau Kibwe
BENKI YA DUNIA KUENDELEZA USHIRIKIANO NA TANZANIA


Cv yake kabla ya uteuzi iko vizuri

Alternate Executive Director: EDS14​

Executive Directors

Mr. Zarau Wendeline Kibwe, a Tanzanian national, currently serves as the Alternate Executive Director for Africa Group I Constituency (Botswana, Burundi, Eritrea, Eswatini, Ethiopia, The Gambia, Kenya, Lesotho, Liberia, Malawi, Mozambique, Namibia, Rwanda, Seychelles, Sierra Leone, Somalia, South Sudan, Sudan, Tanzania, Uganda, Zambia, Zimbabwe) at the World Bank Group, Washington, D.C. since November 2022. He also served the same Constituency Office as an Advisor and Senior Advisor for over five years since 2017.
Prior to joining the Constituency Office, Mr. Kibwe served as the World Bank Country Economist for Tanzania. Over the last 15 years of his career, Mr. Kibwe has held various positions in the President’s Office—Planning Commission (now part of Tanzania’s Ministry of Finance and Planning), Tanzania Revenue Authority and various Higher Learning Institutions in his country.
Mr. Kibwe holds a Ph.D. in Development Economics, an MA in Development Economics, and a Master of Public Policy, all from the National Graduate Institute for Policy Studies (GRIPS) in Tokyo, Japan, and a BSc in Economics from Mzumbe University in Morogoro, Tanzania. His research interest is mainly in development macroeconomics.
Hongera Lecturer wangu
 
Watanzania tupende kufanya kazi taasisi na kampuni za kimataifa badala ya kutwa kuwinda vyeo vya kisiasa

Huyo mwanaume kushoto pichani ndie Zarau Kibwe
BENKI YA DUNIA KUENDELEZA USHIRIKIANO NA TANZANIA


Cv yake kabla ya uteuzi iko vizuri

Alternate Executive Director: EDS14​

Executive Directors

Mr. Zarau Wendeline Kibwe, a Tanzanian national, currently serves as the Alternate Executive Director for Africa Group I Constituency (Botswana, Burundi, Eritrea, Eswatini, Ethiopia, The Gambia, Kenya, Lesotho, Liberia, Malawi, Mozambique, Namibia, Rwanda, Seychelles, Sierra Leone, Somalia, South Sudan, Sudan, Tanzania, Uganda, Zambia, Zimbabwe) at the World Bank Group, Washington, D.C. since November 2022. He also served the same Constituency Office as an Advisor and Senior Advisor for over five years since 2017.
Prior to joining the Constituency Office, Mr. Kibwe served as the World Bank Country Economist for Tanzania. Over the last 15 years of his career, Mr. Kibwe has held various positions in the President’s Office—Planning Commission (now part of Tanzania’s Ministry of Finance and Planning), Tanzania Revenue Authority and various Higher Learning Institutions in his country.
Mr. Kibwe holds a Ph.D. in Development Economics, an MA in Development Economics, and a Master of Public Policy, all from the National Graduate Institute for Policy Studies (GRIPS) in Tokyo, Japan, and a BSc in Economics from Mzumbe University in Morogoro, Tanzania. His research interest is mainly in development macroeconomics.
Super
P
 
Unaweza kushare nasi source ya hii habari kuhusu mshahara
Ni mkubwa lakini hauwezi kufika kiwango hicho. UN zote mishahara haipishani sana. Kama ndugulile tu milioni 700 ni wa mwaka ije iwe huyu kwa mwezi? Huo ni mshahara wa mwaka mzima angalia kiambatanisho hapo.
 

Attachments

Nawaza tu Mwigulu atavyomdumbua.....arudi bongo wampe jimbo awe NW Fedha.......naionahiyo.......eti uzalendo lhaaa muda utasema
 
Kama kweli mshahara mi miasita nampa hongera kwake.Hizi ndiyo ajira Sasa na siyo zile za kujipendekeza Kwa kizimkazi ili uteuliwe kuwa muabudu kizimkazi

Hiyo position hupewi bila endorsement ya nchi na mkuu wa nchi yako. SSH ana influence kubwa nje.
 
Nawaza tu Mwigulu atavyomdumbua.....arudi bongo wampe jimbo awe NW Fedha.......naionahiyo.......eti uzalendo lhaaa muda utasema

Muwe mnafuatilia kwanza Kabla ya kuropoka. Mwigulu alikuwepo kwenye uchaguzi wa huyu bwana, hiyo position hupewi bila endorsement ya nchi na mkuu wa nchi yako.
 
Muwe mnafuatilia kwanza Kabla ya kuropoka. Mwigulu alikuwepo kwenye uchaguzi wa huyu bwana, hiyo position hupewi bila endorsement ya nchi na mkuu wa nchi yako.
Muda tu.....utamuona bungeni.....mengine mbwembwe tu...mimi siko huko kwenye endorsement.....niko kwenye soasa za bongo......
 
Back
Top Bottom