Hongera zake.
Kuna pongezi cobtroversial za kisiasa za Samia, lakini pia, kidiplomasia, mtu kupewa hizi nafasi ni kura ya imani kwenye uongozi wa serikali yake kutoka nchi nyingine, kwa hivyo serikali ya Tanzania inayoongozwa na rais Samia ina pongezi zake nayo.
Kuna diplomasia fulani ya nchi inahusika kupata hizi nafasi. Nchi ikipwaya kwenye diplomasia hizi, raia wake kupata nafasi hizi inakuwa ngumu.
Jana kuna mtu alikuwa anasema World Bank kuna Watanzania wengi, naona anakuwa vindicated.
Nchi ikipata watu wengi kama hawa kwenye kazi za UN, tukiwa na uongozi mzuri, tunaweza kuongeza ushawishi katika ajenda za muhimu.