DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hapana mkuu watu wamechangia kwa mahaba mda wa masaa 24 zikafika 10m
Kwanini tusiwe na ubinadamu wa kuchanga ili arudi nyumbani?
Niko tayari kwa msaada
 
Ubalozi wao kazi yao ni nini kama hawana msaada hata wa Ticketi ya kumrejesha ili apelekwe kwa Waganga?!
 
Mkuu; Inabidi sasa tufike mahali tukubaliane kwamba tumeshindwa kukubaliana kwenye hoja hii.
 
Sehemu iliyopaswa kuwa na ubongo kwenye kichwa chako imejaa kamasi.
 
Angekuwa mwanafunzi na ameenda kwa usaidizi wa serikali ingekuwa tayar ishafanyika namna ya kumsaidia na kumrudisha nyumbani.! Kwa hali aliyo nayo huyo huenda hakuwa mwanafunzi wa scholarship
 
Msenge wewe, Kichaa ana Privacy?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…