Mtanzania kufia Ukraine Tanzania iidai Urusi fidia

Mtanzania kufia Ukraine Tanzania iidai Urusi fidia

Ni ujinga wake tu, nenda kadai fidia kwa taifa kubwa ndio utajua hujui

Aliuita SS huu wa kwako kuwa ni wivu wa kike. Kwa vile umeangalia hutopata hata ndululu umeona ya nini ila ingekuwa Noah za makinikia? Bure kabisa!
 
Ni ujinga wake tu, nenda kadai fidia kwa taifa kubwa ndio utajua hujui
Namibia wanalipwa fidia na Ujerumani kwa Babu zao kuchukuliwa utumwa. Wakenya waliouawa kwenye vita vya maumau wakipigania uhuru wanaidai UK fidia ila ma meeeeee meeeeee!

Kumbe Ujerumani au Uingereza ni mataifa madogo na Kwa wahanga ilikuwa ni ujanja wao?

Bure kabisa.
 
Na yeye huko alikubalije kwenda kama sio kihelehele kaacha kula ugali uku ashibe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na yeye huko alikubalije kwenda kama sio kihelehele kaacha kula ugali uku ashibe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hukusikia huko alikuwa shule? Kwenda shule ni kiherehere ila kula ugali huku na kushiba ndiyo ujanja?

Uliwahi kusikia watu wametekwa na kulazimishwa kupigana bega kwa bega upande wa adui? Wewe unajua je kuwa vitani alikwenda Kwa ridhaa yake?

Wivu wenu huu siyo ule uliotambuliwa na Mheshimiwa Six?
 
Hukusikia huko alikuwa shule? Kwenda shule ni kiherehere ila kula ugali huku na kushiba ndiyo ujanja?

Uliwahi kusikia watu wametekwa na kulazimishwa kupigana bega kwa bega upande wa adui? Wewe unajua je kuwa vitani alikwenda Kwa ridhaa yake?

Wivu wenu huu siyo ule uliotambuliwa na Mheshimiwa Six?

Oh kumbe alikuwa shule wakati wakina sonia monalisa wanatolewa yeye alikuwa wapi?
 
Hukusikia huko alikuwa shule? Kwenda shule ni kiherehere ila kula ugali huku na kushiba ndiyo ujanja?

Uliwahi kusikia watu wametekwa na kulazimishwa kupigana bega kwa bega upande wa adui? Wewe unajua je kuwa vitani alikwenda Kwa ridhaa yake?

Wivu wenu huu siyo ule uliotambuliwa na Mheshimiwa Six?

Wewe huna wivu?
 
Mtanzania mwenzetu kafia Ukraine Kwa niaba ya Russia.

Kulikoni serikali ya Urusi ikamfikisha mtanzania mwenzetu huko vitani ndani ya kombati zake?

Wako wapi wanasheria wetu?

Haipo fursa ya maana hapa dhidi ya Putin?
Utopolo kwa lipi wakati mwenyewe alikuwa mfungwa na njaa yake na ujinga wake ndivyo vimemponza. Acheni kutaka vya dezo
 
Sasa wewe mwenye kudhani Nemes alikuwa masomoni Ukraine si inabidi kusubiri angalau K-vant ikupungue kichwani ndugu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Situmii pombe jibu ww huna wivu
 
Alitenda kosa akafungwa kisheria.Siyo lazima mfahamu ni kosa gani,ni mambo ya kifamilia.
 
Utopolo kwa lipi wakati mwenyewe alikuwa mfungwa na njaa yake na ujinga wake ndivyo vimemponza. Acheni kutaka vya dezo

Alikuwa mfungwa Kwa kosa lipi? Wapi mikataba inaruhusu wafungwa kwa njaa au ujinga wao kupelekwa vitani?

Acheni wivu wa kijinga. Kinachogomba hapa ni haki za mtu. Kumbuka haki ya mtu ni yake hata kama wewe hutapata lolote.

Kinyume cha hapo ni wivu tu kama alioutambua bwana Sitta.
 
Alikuwa mfungwa Kwa kosa lipi? Wapi mikataba inaruhusu wafungwa kwa njaa au ujinga wao kupelekwa vitani?

Acheni wivu wa kijinga. Kinachogomba hapa ni haki za mtu. Kumbuka haki ya mtu ni yake hata kama wewe hutapata lolote.

Kinyume cha hapo ni wivu tu kama alioutambua bwana Sitta.

Wew mbishi tatizo sijui umetokea kigoma
 
Alitenda kosa akafungwa kisheria.Siyo lazima mfahamu ni kosa gani,ni mambo ya kifamilia.

Familia haijasema alifungwa. Alifungwa au hakufungwa, au alifungwa kwanini, haihalalishi Putin kumpeleka kupigana kokote kwa niaba ya Russia. Putin ni mhalifu tu. Hoja ni kumshtaki mhalifu huyu.
 
Yaani unafafanua simple tu kama issue ya fei toto
Ndiyo vijana wa kitanzania hao kwenye ubora wao. Akiwaita yule bwana vijana wa hovyo wasiokuwa na mchango wowote kwa taifa hili. Mawazo yao ni ngono. Weka mada hizo uone akili zao ziliko.
 
Huyo Mtanzania aliyekufa ni mpumbavu, na sioni haja ya serikali kujihusisha na MPUMBAVU kama huyo
 
Back
Top Bottom