Mtanzania kufia Ukraine Tanzania iidai Urusi fidia

Mtanzania kufia Ukraine Tanzania iidai Urusi fidia

Hukujua Nemes Tarimo alikuwa masomoni. Hata ulipojua alikuwa masomoni bado hukujua alikuwa masomoni wapi. Pamoja na yote bado umekomaa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hujihurumii ndugu?

"Yesu alisema msinihurumie mimi jihurumieni wenyewe."

Oho hya mkuu
 
Upumbavu wake huo ni upi ambao serikali au wengine hatuujui ila wewe?
Why ujiunge na Urusi kupambana na Ukraine? kuna upumbavu zaidi ya huo? Kama wewe upo upande wake then wewe ni MPUMBAVU pia
 
Waisrael wanathamini sana raia wao hawawezi kukubali raia wao afe then utolewe ufafanuzi finyu kama huo kutoka kwa waliompeleka vitani halafu waridhike never.Balozi wa urusi hapa tz angeitwa na kuambiwa atoe maelezo ya kina na nchi yake ilipe fidia kwa kukiuka mikataba ya kimataifa kuhusu haki za wafungwa
Kwetu serikali ina watu kama Naipendatz hao ndiyo mawaziri. Hao hawatuwakilishi sisi bali matumbo yao. Kujihusisha na lolote la raia kwao ni adha Isiyowahusu ila kutukamua kodi ili waendelee kulamba asali kwa raha zao.
 
Kwetu serikali ina watu kama Naipendatz hao ndiyo mawaziri. Hao hawatuwakilishi sisi bali matumbo yao. Kujihusisha na lolote la raia kwao ni adha Isiyowahusu ila kutukamua kodi ili waendelee kulamba asali kwa raha zao.
Jinga sana wewe jamaa, watu wako unaowaamini kuwapa nchii hii ni Mbowe, Lissu, na Heche!!! Walevi!! Hakuna mtu atawapa nchi hii walevi TAHIRA wewe
 
Why ujiunge na Urusi kupambana na Ukraine? kuna upumbavu zaidi ya huo? Kama wewe upo upande wake then wewe ni MPUMBAVU pia
Una uhakika gani alijiunga na Urusi kupambana na Ukraine kwa ridhaa yake?
 
Kwetu serikali ina watu kama Naipendatz hao ndiyo mawaziri. Hao hawatuwakilishi sisi bali matumbo yao. Kujihusisha na lolote la raia kwao ni adha Isiyowahusu ila kutukamua kodi ili waendelee kulamba asali kwa raha zao.
Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kukubali kuongozwa na Mbowe over Samia?? Wewe jamaa la hovyo sana, endelea kupambana na katiba ambayo italetwa na watu walio timamu kiakili na siyo hao wahuni wako ambao walisema Lowasa fisadi baadaye wakamchukua awe mgombea wao wa urais!!!!!!NYAMBAF, Sitokuja kukujibu tena wewe kilaza
 
Jinga sana wewe jamaa, watu wako unaowaamini kuwapa nchii hii ni Mbowe, Lissu, na Heche!!! Walevi!! Hakuna mtu atawapa nchi hii walevi TAHIRA wewe
Nikukumbushe chawa wewe mliaswa kujibu kwa hoja si matusi. Ila sasa hoja mzipate wapi hali mkiwakumbuka hao uliowataja ni kama mnavyoonekana hapa chini?

IMG-20230125-WA0000.jpg
 
Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kukubali kuongozwa na Mbowe over Samia?? Wewe jamaa la hovyo sana, endelea kupambana na katiba ambayo italetwa na watu walio timamu kiakili na siyo hao wahuni wako ambao walisema Lowasa fisadi baadaye wakamchukua awe mgombea wao wa urais!!!!!!NYAMBAF, Sitokuja kukujibu tena wewe kilaza
Hoja ipo kwenye uhalali wa Nemes Tarimo kupelekwa Ukraine kupigana kwa niaba ya Russia.

IMG-20230125-WA0000.jpg


Povu la nini ndugu chawa?
 
Mtu ameamua kwa hiari yake kujiunga na Russia tatizo lipo wapi hapo?
Hivi angefanikiwa kurudi Salama na kulipwa mkwanja $ ndefu,.

Angeipa serikali ya Tanzania kiasi gani?

Kuna madai mengine ukidai utaonekana mwehu..


Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Mtu ameamua kwa hiari yake kujiunga na Russia tatizo lipo wapi hapo?
Hivi angefanikiwa kurudi Salama na kulipwa mkwanja $ ndefu,.

Angeipa serikali ya Tanzania kiasi gani?

Kuna madai mengine ukidai utaonekana mwehu..


Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Ata kesi yake ina mashaka sidhani ukifanya criminal profiling ya wauza madawa ya kulevya duniani utapata sample ya watu wenye degree ya engineering na tena wanajiongeza na masters.

It just doesn’t add up kwa level ya elimu yake kushawishika kuuza madaya mtaani halafu nchi ya kigeni, it takes a lot to be a street dealer nchi za ugenini ata ukienda Kenya tu seuse huko Russia.

Sijiapizi kwa vitu na watu nisiowafahamu, ila common sense says it’s odd kwa elimu yake kuuza kete za mtaani kwa gram alizoshikwa nazo.
 
Mtu ameamua kwa hiari yake kujiunga na Russia tatizo lipo wapi hapo?
Hivi angefanikiwa kurudi Salama na kulipwa mkwanja $ ndefu,.

Angeipa serikali ya Tanzania kiasi gani?

Kuna madai mengine ukidai utaonekana mwehu..


Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Hii hiari yake uthibitisho uko wapi? Hivi Russia inao askari wengine watanzania wangapi jeshini kwake au kututaarifu tu wakifa ndipo unapoishia wajibu wake?

Kama serikali kuwajibika Kwa watu wake ni wehu ila kulamba asali serikali za hivi Zina umuhimu gani kwetu?
 
Watu ni raia wa nchi siyo vyama ewe Mburumundu. Hujamsikia waziri Tax akiwajibika na suala la mtanzania mwenzetu huyu?
Sheria zina kataza kujiunga na jeshi la nchi yoyote... tofauti na majeshi yetu

Kwa namna hiyo, marehemu kwanza ana kosa la kujibu kwa jamhuri

Au tuishitaki familia kwa niaba yake?
 
Hii hiari yake uthibitisho uko wapi? Hivi Russia inao askari wengine watanzania wangapi jeshini kwake au kututaarifu tu wakifa ndipo unapoishia wajibu wake?

Kama serikali kuwajibika Kwa watu wake ni wehu ila kulamba asali serikali za hivi Zina umuhimu gani kwetu?
Kama alilazimishwa, uthibitisho upo wapi?
 
Tanzania hipi? Usitake kuchonganisha serikali na wananchi wake. Wamarekani na wa ulaya wanauwa kila siku na hao mabeberu hawana ubavu wa kudai fidia ije iwe tanzania?
 
Ata kesi yake ina mashaka sidhani ukifanya criminal profiling ya wauza madawa ya kulevya duniani utapata sample ya watu wenye degree ya engineering na tena wanajiongeza na masters.

It just doesn’t add up kwa level ya elimu yake kushawishika kuuza madaya mtaani halafu nchi ya kigeni, it takes a lot to be a street dealer nchi za ugenini ata ukienda Kenya tu seuse huko Russia.

Sijiapizi kwa vitu na watu nisiowafahamu, ila common sense says it’s odd kwa elimu yake kuuza kete za mtaani kwa gram alizoshikwa nazo.
Moja ya vitu watu huko nje hawa pendi kukaribisha watanzania wenzao ni hii shughuli ya madawa ili usije muingiza matatani

Wanaijeria ni miongoni mwa raia walio soma na kusambaa sana duniani na hii biashara wanaifanya sana. Na ukiwa nje wana kutaadharisha ukae bali nao hao na waghana

Pia wapakstani wamesoma na ndipo madawa yana patikana kwa wingi huko peshawar, ni juhudi zako kuyasafirisha toka pakstani to ulaya

Wame kamatwa viongozi wa dini tunao waamini kweli kweli kwani watu wa mungu, na wamesoma wengine mpaka phd

Hivyo kigezo cha elimu sio tatizo, wala upole wa mtu sio tatizo

Watu ni swala tano na wanafanya madudu yasiyo eleweka, wezi majambazi wabakaji, magaidi, wachawi, nk
 
Hii taarifa nimeiona leo kwa upana toka kwa waziri husika, anadai mtanzania alikuwa gerezani, ndio akaahidiwa kuachiwa huru endapo angepigana vita mpaka mwisho.

Bahati mbaya hawatuambii kosa gani alitenda lililompeleka gerezani, hizi taarifa nusu nusu sio nzuri kupeleka kwa umma, kwani zinaacha maswali zaidi badala ya kuyamaliza.
Zaidi ya madawa KWA wabongo huwa hawana kesi zingine
 
Sheria zina kataza kujiunga na jeshi la nchi yoyote... tofauti na majeshi yetu

Kwa namna hiyo, marehemu kwanza ana kosa la kujibu kwa jamhuri

Au tuishitaki familia kwa niaba yake?

Sheria na mikataba ya kimataifa kuhusu wafungwa inasema je?

Sheria na mikataba ya kimataifa kuhusu wafungwa wa mataifa mengine inasema je?

Uthibitisho wa kuwa aliomba kujiunga na jeshi la nchi nyingine uko wapi?

Kosa la mtu tangu lini likapatlizwa kwa mwingine kwa unasaba, urafiki, chama, ukabila, utaifa nk?

Ninakazia: kama serikali halali ya watu inawajibika kwa usalama wa raia wake, ila kama ya walamba asali.

"Ushahidi ni kwenye hili la bwana Nemes na yule aliyewahi kusema wanyongwe haraka huko huko."
 
Mtanzania mwenzetu kafia Ukraine kwa niaba ya Russia.

Kulikoni serikali ya Urusi ikamfikisha Mtanzania mwenzetu huko vitani ndani ya kombati zake?

Wako wapi wanasheria wetu?

Haipo fursa ya maana hapa dhidi ya Putin?
inasemekana alijiunga ba wergen group wa makubaliano akitoka vitani atakuwa kafutiwa hukumu yake.

wergen group ni kampuni inayovohusiana na wanajeshi wale wastaafu na mtu yoyote wenye ujuzi wa jeshi eg: expendable wale.

kwahiyo kama ukienda kufanya tukio nchi yoyote serikali ya nchi unayotoka haihisuki kwa lolote lile . hivyo basi Tanzania hawezi kumdai chochote kile Russia.

inshu ya jamaa ni yeye na wergen group na sio serikali ya Russia
 
Nchi zingine zimepeleka askari huko rasmi. Wetu kasokomezwa huko na mrusi. Wewe unaona kusokomezwa huko bila ridhaa ya nchi yako ni jambo la kishujaa?

Wekeni uchawa pembeni hata mmiliki chawa hili limemkera ila nyie?
Kwani mustakabali wako unaamuriwa na nchi au wewe binafsi.
Ukienda front utakutana na mawili live or die ni unconditional choice.
Vitani uchagui kufa au kuishi.
 
Back
Top Bottom